pulex
JF-Expert Member
- Nov 3, 2023
- 513
- 2,038
- Thread starter
- #21
Unataka mtu awe upande wa Mama hata kama anafanya mambo ya ovyo?Mange ni mtu mmoja wa ajabu sana na asiye na soni hata kidogo
Yaan mama akajitoa mpaka akakutana nae lakin leo kamange kamemgeuka kabisa
Watu wanapotea, wanatekwa na kuuwawa, ufisadi, Rushwa imetapakaa kila kona, madudu yanaibuliwa hata wao jinsi ya kutetea hawawez, inabidi wakae kimya. ukimsema mama unasema umemgeuka? Tunalipeleka wapi hili taifa kama mawazo yako yawe kwa kila mtanzania.