themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 988
- 3,318
Waswahili wanasema ukiona mtu anajifanya hakupendi alafu kila siku anafuatilia maisha yako kila unachofanya basi jua huyo ni shabiki yako mzuri tu
Basi ndivyo ilivyo kwa mange kimambi, huwa anachuki na maendeleo ya Diamond Platnumz huku bado anapenda kufuatilia maisha yake ya kimziki hadi mapenzi, kibaya Diamond amekuwa hajibu chochote.
Mange kimambi hapendi kabisa kuona mtu aliemzidi maendeleo hata zari hampendi kabisa sababu anaishi maisha ya kifahari, Japo anaishi marekani lakini huwezi mkuta anapiga picha akiwa nje ya nyumba yake kwa kuogopa kuaibika
Kila kukicha picha zake amekuwa akipiga location tu kwenye mahoteli na majumba ya watu lakini nyumba anayoishi hawezi kupiga picha sababu anajua maisha anayoishi
Lakini amekuwa akipambana na watu walimzidi kimaisha wakati akijua kuwa anaishi United states of America kwa kudanga tu hana kazi ya kumlisha, cha msingi mange anatakiwa adeal na siasa ndizo zinampendeza ila maisha ya watu anaonyesha ni jinsi gani alivyo na roho ya wivu.
Basi ndivyo ilivyo kwa mange kimambi, huwa anachuki na maendeleo ya Diamond Platnumz huku bado anapenda kufuatilia maisha yake ya kimziki hadi mapenzi, kibaya Diamond amekuwa hajibu chochote.
Mange kimambi hapendi kabisa kuona mtu aliemzidi maendeleo hata zari hampendi kabisa sababu anaishi maisha ya kifahari, Japo anaishi marekani lakini huwezi mkuta anapiga picha akiwa nje ya nyumba yake kwa kuogopa kuaibika
Kila kukicha picha zake amekuwa akipiga location tu kwenye mahoteli na majumba ya watu lakini nyumba anayoishi hawezi kupiga picha sababu anajua maisha anayoishi
Lakini amekuwa akipambana na watu walimzidi kimaisha wakati akijua kuwa anaishi United states of America kwa kudanga tu hana kazi ya kumlisha, cha msingi mange anatakiwa adeal na siasa ndizo zinampendeza ila maisha ya watu anaonyesha ni jinsi gani alivyo na roho ya wivu.