Mbona Mange ndo mnaona ana tatizo tu, Hivi huyo Zari alivyomchamba Mange, huko snapchat mbona hamsemi??? Le Mutuz kwenye page yake hamuoni anavyomsema Mange?
Uko sahihi jembeMlete Mada naomba nikujibu kama ifuatavyo. Kwanza, lazima uelewe kuwa Mange ni Celebrity mkubwa tu hapa TZ. Ukumbuke kuwa Miss TZ wa kipindi hicho ambao walifanikiwa kushinda ukiishia kwa Wema Sepetu amekuwa akiwaandaa yeye. Pili, Suala la Mange na Diamond usilichukulie hivyo. Kama unakumbuka wakati Diamond alivyofanya Diamonds are Forever. Mange ndiyo aliyeandaa akishirikiana na kina Ruge. Kwa hiyo fanya utafiti wa kutosha. Dai Anamheshimu mno Mange na Matusi yake yote ndiyo maana hata siku moja Dai ajawahi kuongea chochote kuhusu Mange. Tatu, Mange kumuandama Zari yeye mwenyewe ndiyo alimuanza. Kumwambia RIP Lance Snapchat na watu walimkanya huyo Zari kuwa asimchokoze Mange. Sasa kajibu mashambulizi Mange anaonekana mbaya. Nne, Mange ni Blogger, tena the best female Blogger in Tz. Kwa hiyo ana uhuru wa kublog chochote kile. Ndiye mmiliki halali wa U-Turn. Siku ikirudi hewani pita usome maada zake. Ni mwandishi mzuri sana.
Mange na Lemutuz wana aina moja ya kuishi, wanatafuta kiki kwa kila hali,Mange bila kuwaponda kina Diamond na wengine angejulikana vipi?
mnapata tabu mnao shughulishwa na mambo yake kama mngempuuza wala yasingekuwa haya tunayojadili hapa
Bila shaka mama yake ndio mwenye jibu sahihiHivi Zari ana miaka mingapi?
Mi pia mama zuleha mwenye mjukuu m1 alishaniblock mda mrefu, ye anataka kusifiwa tuu. Usipomsifia anakublockWewe utakuwa na matatizo mpaka Zari kakublock
Sio kweli, zari ana 42 sahivi. Kamzaa tifa akiwa na 41She is 35 turning 36 this year
Ruttashobolwa
Hahahahaumeongea kile nlichkua na kiwaza.
Nilivyokuwa mdogo nilidhani ukienda marekan unaachana na tabia za kiswahili Swahili ila kwa anayofanya mange kila siku kusema watu, majungu, matusi na kusengenya wenzake naanza kuamini anaweza kuwa anaishi tandale ya marekani....
Duh!sometimes you just have to admire Mange-Huko insta leo kaachia cheche point tupu amesema why she thinks Magufuli is the worst presida in Tz history-my God kamwaga facts tupu why Tanzania under Magufuli has lost its way kachambua kisomi na kaweka facts kuntu-kasema yuko tayari kurudi Tanzania and face the wrath of the powers that be.Amesema CCM walifanya vizuri kumkata kwenye ubunge otherwise pangechimbika