joel amani
Senior Member
- Nov 22, 2011
- 100
- 8
Wana jf tujadili hili mana litaua soka kama kweli lipo,baada ya yanga kutofanya vizuri kwenye mechi zake kuna siku hasa baada yanga kufungwa na kagera nilimskia kiongozi wa yanga akiwalaumu wanawahujumu wakati walikubaliana kwenye meza moja hiyo tabia ife lakini simba bado wanaendelea,yule kiongozi akasema anaushaudi tosha na akasema tutaona simba kama atashinda mechi na coast,ni kweli simba alijikamua akatoa sare,je hili ni kweli? tutafika kweli kwenye soka letu? NAWAKILISHA