Mzalendo_Mwandamizi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2007
- 1,117
- 4,764
Endelea kuonyesha ujuha wako hadharani huku ukihaha kutafuta teuzi. Maneno ya Msekwa kuhusu katiba na hao Wabunge wa Spika ZUZU Ndugai umeyasikia lakini bado unajitoa ufahamu. Chama dhoofu hakiwezi kuwa kinaongeza wanachama wapya kwa maelfu nchi nzima. Muziki wa Chadema unaujua na uliuona kwa macho yako. Chadema iko mioyoni mwa Watanzania hivyo utasubiri sana kudhoofika kwa Chadema.
Kuwa mstaraabu. Kwani huwezi kupinga hoja bila kutumia lugha isiyo ya kiungwana? Tofauti yenu na MATAGA ipi hapo?