Maneno ya Mwigamba

Endelea kuonyesha ujuha wako hadharani huku ukihaha kutafuta teuzi. Maneno ya Msekwa kuhusu katiba na hao Wabunge wa Spika ZUZU Ndugai umeyasikia lakini bado unajitoa ufahamu. Chama dhoofu hakiwezi kuwa kinaongeza wanachama wapya kwa maelfu nchi nzima. Muziki wa Chadema unaujua na uliuona kwa macho yako. Chadema iko mioyoni mwa Watanzania hivyo utasubiri sana kudhoofika kwa Chadema.

Kuwa mstaraabu. Kwani huwezi kupinga hoja bila kutumia lugha isiyo ya kiungwana? Tofauti yenu na MATAGA ipi hapo?
 
Angekuwa ana ustaarabu asingeonyesha kufurahia kudhoofika kwa Chadema huku nchi ikiendelea kufanya udhalimu na dhuluma za kutisha dhidi ya raia, vyombo vya habari na vyama vya siasa.


Kuwa mstaraabu. Kwani huwezi kupinga hoja bila kutumia lugha isiyo ya kiungwana? Tofauti yenu na MATAGA ipi hapo?
 
Kumbe Chadema ni very strong political party na kinatisha hadi kitengo wamtumie mtu kukidhoofisha!.
Kwa maoni yangu Chadema kiko dholfu bin taaban, kiukweli kiko hoi hadi kushindwa kuitisha kikao cha Baraza Kuu kuumaliza ule mzizi wa futna wa Covid 19!.
P
Mbowe ni gaidi au sio gaidi.?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kumbe Chadema ni very strong political party na kinatisha hadi kitengo wamtumie mtu kukidhoofisha!.
Kwa maoni yangu Chadema kiko dholfu bin taaban, kiukweli kiko hoi hadi kushindwa kuitisha kikao cha Baraza Kuu kuumaliza ule mzizi wa futna wa Covid 19!.
P
Unazeeka na njaa yako "P", Teuzi zimefika ukomo hujapata chochote.
Chadema ipo mioyoni mwa wengi kuliko unavyofikiri.
Uwepo wa Tume Huru ya Uchaguzi unaweza kudhirisha nguvu ya Chadema.
Ni swala la muda tu.
 
Pascal Mayalla haya maneno yako kuna watu hawatayaelewa, lakini nadhani watakuja kukuelewa huku muda umeenda.
Siku zote hawa jamaa zangu ni wazito sana kuelewa ila hata wawe wazito vipi, wasipoelewa kwa ushauri, wataeleweshwa kwa matokeo, mfano mzuri ni hali ya sasa ya Chadema Bungeni, watu wa ushauri wa bure, tuliwashauri kitambo.
Walinibishia, kilichotokea uchaguzi wa 2020, sote tunakijua, na sasa Chadema are leaning the hard way.
P
 
Endelea kuonyesha ujuha wako hadharani huku ukihaha kutafuta teuzi. Maneno ya Msekwa kuhusu katiba na hao Wabunge wa Spika ZUZU Ndugai umeyasikia lakini bado unajitoa ufahamu. Chama dhoofu hakiwezi kuwa kinaongeza wanachama wapya kwa maelfu nchi nzima. Muziki wa Chadema unaujua na uliuona kwa macho yako. Chadema iko mioyoni mwa Watanzania hivyo utasubiri sana kudhoofika kwa Chadema.
Mkuu hivi kweli ulitegemea pasikali, aje na mambo tofauti na hayo aliyo yaandika?.hilo litatokea siku akipoteza tumaini la kulamba teuzi
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Siku zote hawa jamaa zangu ni wazito sana kuelewa ila hata wawe wazito vipi, wasipoelewa kwa ushauri, wataeleweshwa kwa matokeo, mfano mzuri ni hali ya sasa ya Chadema Bungeni, watu wa ushauri wa bure, tuliwashauri kitambo.
Walinibishia, kilichotokea uchaguzi wa 2020, sote tunakijua, na sasa Chadema are leaning the hard way.
P
"Chadema are leaning the hard way" ...

Ni vyema tukaendelea kutumia kiswahili '....lugha yetu ya Taifa.
 
Back
Top Bottom