Emc2 JF-Expert Member Sep 26, 2011 16,808 16,834 Jan 11, 2012 #1 1. Kitanda hakina kunguni 2. Sijauona mwezi wangu 3. Jamaa yeke ni bushoke Maneno mengine yapi unayajua?
1. Kitanda hakina kunguni 2. Sijauona mwezi wangu 3. Jamaa yeke ni bushoke Maneno mengine yapi unayajua?
ZeMangi JF-Expert Member Oct 21, 2011 436 33 Jan 11, 2012 #3 Yule bado mwezi mchanga (bikra),unaona eeh..!!?
aikaruwa1983 JF-Expert Member May 6, 2011 1,398 1,499 Jan 11, 2012 #4 aishiiiiiiiiiiiiiiiii ivyo ivyo usitoe...............!!!!!!!!!!
Slave JF-Expert Member Dec 6, 2010 5,314 2,635 Jan 11, 2012 #5 Natafuta jiko(mke) naomba kuzaliwa kwako(nioe binti yako) kupumua (jamba)
V vunjajungu JF-Expert Member Nov 25, 2011 576 240 Jan 11, 2012 #6 Mende kaangusha kabati(chakula kipo tayari)
Washawasha JF-Expert Member Aug 7, 2006 16,652 13,077 Jan 12, 2012 #9 jogoo halipandi mtungi,kuendesha(kuhara) Nalog off
TaiJike JF-Expert Member Dec 14, 2011 1,483 666 Jan 12, 2012 #11 Ana mguu wa mtoto, ana...kama anayoosha mkono kumsalimia mtu.
chapaa JF-Expert Member Feb 19, 2008 2,351 203 Jan 12, 2012 #12 utavuna ulicho panda mwisho wa ubaya ni aibu
under_score Senior Member Nov 2, 2011 190 45 Jan 12, 2012 #14 tobycow said: dawa ya penz=condom kukojoa=? Click to expand... kukojoa = kup*** ....., i mean ku'pee!
tobycow said: dawa ya penz=condom kukojoa=? Click to expand... kukojoa = kup*** ....., i mean ku'pee!
kinyoba JF-Expert Member Jun 2, 2011 1,267 718 Jan 12, 2012 #15 Ana mkono wa sweta! Hahahaaa hapa namkumbuka Yule sterling wa kibindi GOVINDA
bishoke JF-Expert Member Jan 12, 2010 274 52 Jan 12, 2012 #16 kinyoba said: Ana mkono wa sweta! Hahahaaa hapa namkumbuka Yule sterling wa kibindi GOVINDA Click to expand... Mwembe tayari
kinyoba said: Ana mkono wa sweta! Hahahaaa hapa namkumbuka Yule sterling wa kibindi GOVINDA Click to expand... Mwembe tayari
Emc2 JF-Expert Member Sep 26, 2011 16,808 16,834 Jan 13, 2012 Thread starter #18 Choka mbaya said: Bunduki yake haina risasi Click to expand... Hahaaaa hii kali
sakapal JF-Expert Member Apr 11, 2011 1,804 1,424 Jan 13, 2012 #19 Annael said: 1. Kitanda hakina kunguni 2. Sijauona mwezi wangu 3. Jamaa yeke ni bushoke Maneno mengine yapi unayajua? Click to expand... kitanda hakizai haramu ukisusa wenzio wala jasho la mtu halilambwi cha kuiba kitamu zaidi
Annael said: 1. Kitanda hakina kunguni 2. Sijauona mwezi wangu 3. Jamaa yeke ni bushoke Maneno mengine yapi unayajua? Click to expand... kitanda hakizai haramu ukisusa wenzio wala jasho la mtu halilambwi cha kuiba kitamu zaidi
THK DJAYZZ JF-Expert Member Sep 14, 2011 2,167 175 Jan 14, 2012 #20 1.mama zero njoo chumbani unipatie kiatu changu nivae. 2.mwenzio nataka tena 3.nipe con nilambe 4.ukiona gari imesimama panda haraka.
1.mama zero njoo chumbani unipatie kiatu changu nivae. 2.mwenzio nataka tena 3.nipe con nilambe 4.ukiona gari imesimama panda haraka.