CUF huwa siwakubali ila kwa hili, Jiti la Duni limegonga Rectum ya Chadema, ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikal ya CCM (AG) kawatetea Tundu Lissu na Mnyika mpaka wameshinda kesi ya Uchaguzi ila hawalitangazi hili!
juma duni haji ana hoja ngoja nisubiri vihoja badala ya hoja.
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu huijawahi kumtetea Lissu wala Mnyika!
Ofisi hiyo ni sehemu ya mshitakiwa!
Mshitakiwa hawezi kumtetea mshitakiwa mwenziye!
CHADEMA walijitetea wenyewe, na AG alijitetea mwenyewe!
Au una maoni gani kwenye zile kesi ambazo CHADEMA huwa inapoteza?
E.g: Sumbawanga Mjini, Igunga?
hivi kunatofauti gani kati ya juma duni na mwigulu nchemba, maana wote wana laana za damu za watu kutokana na mauaji ya watu waliofanya, leo hii wamejibanza ndani ya serikali na kujifanya ni watu safi. Wote wananuka damu za watu.
'...mshtakiwa hawezi kumtetea mshtakiwa mwenziye...' mahakamani hakuna kiingilio jipeleke walau siku moja uje uombe Radhi, Mwanasheria mkuu na Mshindi wa uchaguzi wote wako pale kuthibitishia mahakama kuwa uchaguzi ulikuwa huru na haki ili matokeo yasitenguliwe halafu wewe unaleta Siasa kwenye sheria au kinachowatatiza ni neno 'kutetea' mpaka mkadhani kutetea ni mpaka uwe wakili wa Mshtakiwa?.
CUF huwa siwakubali ila kwa hili, Jiti la Duni limegonga Rectum ya Chadema, ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikal ya CCM (AG) kawatetea Tundu Lissu na Mnyika mpaka wameshinda kesi ya Uchaguzi ila hawalitangazi hili!
Nipe uelewa mkuu!
Itatokea nini ikiwa mshitakiwa muambata na AG (mf. Lissu, Mnyika)asipoweka mtetezi?
Aweza kushinda kesi kwa ushahidi wa ofisi ya AG?
juma duni ndo nani???
Ulilenga kutujuza nini muandishi?maana mambo meeeeeengi mpaka nakosa maana ya andiko lako
Wewe Juma Duni Haji uliwekwa kizuizini na mjoma wako Salimin Amoor wewe na wenzio mlizungumza mengi sana tuache hayo
Havi nyie mnaona dhambi ni uzinifu tu?
Si nyie CUF ndio mnasadikiwa mmemuuwa padiri kwa risasi ya moto, Je Juma Duni Haji unaona hiyo siyo dhambi ,dhambi ni kuzini tu?
Nyie CUF mmemwagia wazungu tindi kali mmeona hoyo dhambi dhambi ni kuzini tu
Nyie CUF jana mmemwagia padri tindikali, siyo dhambi dhambi ni kuzini tu,
Nyie CUF mbona mnakuwa kama wasomali ambao wana dini mmoja , lakini kuuwa hawaoni kama ni dhambi ila dhambi ni kunywa pombe tu
Juma Duni Haji akili zako ziko kwenye magoti,usihukumu watu na wewe utahukumiwa na unafiki wenu.
Ulilenga kutujuza nini muandishi?maana mambo meeeeeengi mpaka nakosa maana ya andiko lako