Maneno ya dhahabu kutoka kwa Husein Bashe

Maneno ya dhahabu kutoka kwa Husein Bashe

KALINZI NYUMBANI

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2015
Posts
2,066
Reaction score
2,147
Screenshot_2017-04-07-14-58-14.png
Tunahitaji watu huru kama Bashe ili Tz yetu iendeIee na sio wafia vyama.
 
Inaeleweka ukawa wanamkubali bashe chochote asemacho kwakuwa tu bashe ni team mamvi....hilo ni dhahiri!
Hata hivyo muda sio mrefu naye atavurumushwa kumfata bwanake alipo sasa.
 
Ubongo wa Bashe siku zote unafanya kazi sawasawa...lakini amekosea hapo kumtaja Karume - Karume pia 'aliwapoteza' watu wengi kipindi cha utawala wake!
 
  • Thanks
Reactions: PNC
kila mtu anabweka ooh vyombo vya usalama,wakati amiri jeshi mkuu anajulikana.Bwekea amiri jeshi mkuu kama mna uhakika na mlisemalo mnatupotezea muda na viji tweet vya kutafuta kiki
 
Inaeleweka ukawa wanamkubali bashe chochote asemacho kwakuwa tu bashe ni team mamvi....hilo ni dhahiri!
Hata hivyo muda sio mrefu naye atavurumushwa kumfata bwanake alipo sasa.
Tumia akili sio masaburi wewe. Hajaongelea kusifia chama kaongelea usalama wa mtu/watu. Kwa sababu roma anajulikana itikadi yake ni dhambi mwanaccm kuongelea usalama wa mtanzania mwenzake? Hovyoo
 
kila mtu anabweka ooh vyombo vya usalama,wakati amiri jeshi mkuu anajulikana.Bwekea amiri jeshi mkuu kama mna uhakika na mlisemalo mnatupotezea muda na viji tweet vya kutafuta kiki

Leo si wewe ila siku ya zamu yako hope utambwekea Amiri Jeshi Mkuu.

Hongera sana.Kwa kawaida muda peke ndiyo dawa.
 
Bashe kijana watofaut sana ktk nchi hii hasa ktk utawala huu,huyu jamaa ijapo cmfahamu kwa ukaribu lkn n mbunge na raia wa ajabu kutokea! huyu jamaa kaweka kando siasa za ushabik tofaut na wabunge wengne wa ccm ye2 anasimamia kwel na kweli humweka m2 huru,ndg huyu toka nianze kumfatilia ama bungen pnd likiwa live mpaka sasa likiwa gzan bal nampata ktk mitandao hakika anacho kisema kinanipa ujasir mkubwa sana! mfano kuna maneno kuntu kama hayaa`LEO KWANGU KESHO KWAKO'haya maneno manne vjana 2napaswa kuyaishi hakika 2napaswa kuondoa woga na siasa zisizo na tija! Huyu Rais anako2peleka cko ndiko! kwa nn anatumia nguv kubwa kudeal na mambo yaso na tija kwa taifa,lkn pia wabunge wenye nasaba kama mbunge wa Mtera yule achen hl taifa n le2 sote,muda sio mref alifanyiwa mbunge wa ccm ndg Nape lkn aliyeguswa na lile jambo kwa upande wa ccm n Ndg Bashe peke yake wangne mlikaa kimyaa as if haliwahusu! watanzania 2pnge hv vitendo vnavyoletwa na huyu m2,utamkamatate m2 kwa kumvizia kama kaua? God bless my country!
 
Kwanini nitumeweka hitimisho miyoni mwetu tayari, nadhani si sahihi kuhusianisha mambo haya na haya.....ukweli utabainika.
 
Back
Top Bottom