Maneno haya siyapendi...!!

Maneno haya siyapendi...!!

Kila la heri ila uwe tayari kwa majibu ya aina yeyote hata yale ambayo hayatakufurahisha.

Nitamuuliza kwa hali ya kawaida tu, sipendi ugomvi wala kumkwaza mwenzangu!
 
Nitamuuliza kwa hali ya kawaida tu, sipendi ugomvi wala kumkwaza mwenzangu!
Unatumia nguvu nyingi kuisaka pressure!!!
Endelea tu kumpekua utakutana na ya kukufumba mdomo soon.
 
like like like
kizuri kula na mwenzako

Naww unafanya hivyo?...unajua ukishakuwa katika mahusiano kitu muhimu ni kujitunza ww mwnyw kama mwenzio anafanya upuuzi haina haja ya kulipa kisasi.
 
Naww unafanya hivyo?...unajua ukishakuwa katika mahusiano kitu muhimu ni kujitunza ww mwnyw kama mwenzio anafanya upuuzi haina haja ya kulipa kisasi.

kwa hiyo hata kama anapakuliwa nje, unaendelea kuvumilia tu!
 
Naww unafanya hivyo?...unajua ukishakuwa katika mahusiano kitu muhimu ni kujitunza ww mwnyw kama mwenzio anafanya upuuzi haina haja ya kulipa kisasi.

aisee mi mapenz nayaheshimu. nlishatendwa mpaka nikahisi dunia inanielemea. bora kuwa bachelor, this time ni stress aisee
 
mbona ni maswali ya kawaida na kama habari za majina hata humu jf tunaitana majina ya ajabu na mbona hakuna uhalisia.

Usipanic naamini hata wewe unawatu unaitana nao/unataniana nao...
 
Doh pole...ukifwatilia utaumiza kichwa.
 
mbona ni maswali ya kawaida na kama habari za majina hata humu jf tunaitana majina ya ajabu na mbona hakuna uhalisia.

Usipanic naamini hata wewe unawatu unaitana nao/unataniana nao...

sawa!
Kumbe huwa inatokeaga namna hiyo!
 
aisee mi mapenz nayaheshimu. nlishatendwa mpaka nikahisi dunia inanielemea. bora kuwa bachelor, this time ni stress aisee

Wot happened?..huwezi kuwa bachelor while kuna watu wazuri wengi watataka kuwa naww
 
Hahaha, nacheka kama mazuri vile. Usinitoe mswaki basi mshkaji, walau laki 2 nikanunue lace wig na mie nionekane town
yani wewe siyo mzima kwahiyo ukimuuliza ndio atakwambia ndiyo jamaa huwa anakula mzigo?

hapa ni bora nijiunge na team ya King'asti lete laki tano nikuletee print out ya msg zote za mke wako ili upasuke vizuri usipate tabu ya kumuulizs.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom