Maneno haya siyapendi...!!

Maneno haya siyapendi...!!

kidogo kidogo hujaza kibubu...!

myn myn and wangu wangu ends to horizontalization of the woman! (ofcoz namaanisha kugegedwa!)

mwanamke ni kiumbe mwepesi sana kutegeka especially ukishamzoea kijinga jinga...
 
 
Last edited by a moderator:
Pamoja na stress ila nitamfuatilia mke wangu hadi akome
 
Wot happened?..huwezi kuwa bachelor while kuna watu wazuri wengi watataka kuwa naww

aisee sitaki hata kukumbuka, mpaka sasa nachokijua nikwamba sina hamu na mapenzi. am happy being alone kwa kweli
 
aisee sitaki hata kukumbuka, mpaka sasa nachokijua nikwamba sina hamu na mapenzi. am happy being alone kwa kweli

R u sure 100% that ur happy?...time will tell subiri tu.
 
Unatumia nguvu nyingi kuisaka pressure!!!
Endelea tu kumpekua utakutana na ya kukufumba mdomo soon.

Watu kukimbia matatizo! Ni lazima ujiridhishe mara moja moja kwa phone ya mkeo ukiipatia nafasi.
 
ni udukuzi tu ndugu yangu, japo sina mazoea ya kushika na kupekenyua pekenyua simu yake ila leo nikajaribu na nimekutana na hayo!

Ogopa sana yani. Ipotezee na usiisogelee tena!
 
maofisini kuna mpaka watu wanaitana mke na mume na wasifanye chochote.....

ukianza kumchunguza kuku utashindwa kumla.....hayo maneno ni so irrelevant

anaemla mkeo pengine hata sms hatumi.....au simu yake mke anaiacha ofisin


Mwanamke anayejiheshimu ataepuka hayo maneno maana maneno huumba wanaume hawana utani wanapenda kutumia utani ili wasisitukiwe lakini lengo ni kugegeda, angalia hata maofisini wale wzuri ndo huitwa mke wangu, kipenzi change, wangu, iwapo ni utani kwanini wasio wazuri hawaitwi sana vile? lengo huwa ni kuliwa pachuchi ila wanaume wanaingia kwa gia nyingine na haya mazoea wanawake hujikuta wanaliwa kijingajinga
 
Habari wana MMU!!
Nilikuwa nafanya udukuzi kidogo na nimekuta conversation hizi kwa simu ya wife kati yake na workmate mwenzio wa kiume.
1. "mambo wangu, leo umetoka au upo tu nyumbani"

2. "bye bye myn, see you...""

sijamuuliza mpaka sasa namsubiria tukaulizane wakati wa kulala, je ni kawaida tu au kuna lingine la ziada.


Haya mazoea huwa si mazuri wanaume hujiitisha haya maneno ili awe karibu na mwanamke anayemtaka, mara wanaanza kuitana bar kupeana bia moja baridi bila wenzi wao kuwepo mara wanaanza kukujadili ooo wangu mme wangu anaboa kweli nawishi ungekuwa wewe mara oo mke wangu sio kama wewe kwanini hatukuona maana tunapatana sana mara wanaanza kumegana. Ukweli mazoea ya kijinga hupelekea kuzoeana na kucheat
 
Back
Top Bottom