Kayoka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 2,366
- 2,151
Habari wana MMU!!
Nilikuwa nafanya udukuzi kidogo na nimekuta conversation hizi kwa simu ya wife kati yake na workmate mwenzio wa kiume.
1. "mambo wangu, leo umetoka au upo tu nyumbani"
2. "bye bye myn, see you...""
sijamuuliza mpaka sasa namsubiria tukaulizane wakati wa kulala, je ni kawaida tu au kuna lingine la ziada.
Nilikuwa nafanya udukuzi kidogo na nimekuta conversation hizi kwa simu ya wife kati yake na workmate mwenzio wa kiume.
1. "mambo wangu, leo umetoka au upo tu nyumbani"
2. "bye bye myn, see you...""
sijamuuliza mpaka sasa namsubiria tukaulizane wakati wa kulala, je ni kawaida tu au kuna lingine la ziada.