Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
😅😅😅daladala dar zimenikata 5kgs...yaan ni panda shuka panda shuka😑😑😑..nikishasahau kbs maisaha haya ..ila ntacope..huy mm sio size yangu mdogo wangu hakawii kukuletea flash memory yenye bongoflavas as gift😢..mimi nawaza juu yy anawaz chini...Na ulivyo mzuri na midaladala hiyo mie nacheka tuu.
Ila mwenzako ndiyo kakuelewa jamani mfikirie.
Sent using Jamii Forums mobile app



..mimi nawaza juu yy anawaz chini...



