Nessa mbise
Member
- Dec 12, 2018
- 12
- 5
Mbona hilo swali ni jepesi sana, mkuu.Natafuta mtaalamu au mwalimu anayejua Managerial Economics nina assigment ya kufanya ... ani check Inbox
Njoo inbox tuyajengeMbona hilo swali ni jepesi sana, mkuu.
CBE, Mkuu naomba msaada deadline 28thMbona swali lilikua kwenye test ya International economics. chuo gani hichi mkuu
Na umesema una soma masters?Natafuta mtaalamu au mwalimu anayejua Managerial Economics nina assigment ya kufanya ... ani check Inbox
Na ukipata masters yako utaenda kuwa katibu mkuu wa fedha alafu tunakesha tunajiuliza kwanini Tanzania ni maskini.CBE, Mkuu naomba msaada deadline 28th
Majibu yako mazuri... AsanteNa ukipata masters yako utaenda kuwa katibu mkuu wa fedha alafu tunakesha tunajiuliza kwanini Tanzania ni maskini.
Anyway kama mwigulu kaweza kuwa waziri wa fedha hata wewe unaweza... ndio nchi yetu hii!