HAKUSTAHILI KWASABABU KUBWA MOJA"tata madiba was above mo ibrahim prize"
dunia nzima imezizima kwa msiba wa kiongozi huyu mstaafu. sijui vigezo vinavyotumika kumpata kiongozi bora wa ngazi ya urais aliyestaafu, lkn nawauliza wenye kujua huyu mzee naye ni kama hawa wengine hakuwa na sifa............?
Vigezo vya mtu kushindania na kuteuliwa mshindi wa tuzo ya Mo Ibrahim ni hivi vifuatavyo;-
- Awe kiongozi mstaafu wa nchi ama serikali toka bara la Africa
- Awe ameachia ofisi/madaraka kwa muda wa angalau miaka mitatu(3) nyuma
- Ni lazima awe kiongozi aliyepata kuchaguliwa kidemokrasia
- Awe ametumikia uongozi ndani ya muda wake wa kikatiba
- Awe ameonyesha uongozi wa mfano/wa kipekee
Check zaidi hapa Ibrahim Prize | Mo Ibrahim Foundation
Kumbuka tuzo ya Mo Ibrahim ilianzishwa mwaka 2007 na Nelson Mandela aling'atuka madarakani mwaka 1999. Moja kwa moja utaona Mandela hakukidhi kigezo nambari 2 hapo juu.