Naangalia LIVE kutoka Estern Cape Qunu, MC alipotaja jina la mjane wa Mwalimu Nyerere, mama Maria Nyerere umati wa watu wamepiga makofi sana tofauti na watu wengine walivyokuwa wanatambulishwa. Imenikumbusha siku ambapo alipotambulishwa comrade Mugabe alivyoshangiliwa tofauti na maraisi wengine kama Dokta KIkwete.