Mandela ALAMA YA SIASA ZA KUUNGANISHA WATU!

siku 90 za kuvua gamba zimeishia wapi?au ndo mmeungana?yule balozi wa china umemponza baba wa watu kwa kauli zako za kuropoka Nape,!!
 
Katika hali ya kawaida chuki kati ya weupe na weusi Afrika Kusini,chuki iliyojengwa kwasababu ya ubaguzi wa kutisha uliotendwa na serikali ya makaburu, haikua rahisi kudhani kwamba lingekua ni jambo rahisi kuwafanya watu wasahau na kusameheana na leo waishi kama Afrika Kusini moja! Nelson Mandela(Madiba) kaliweza hili. Ndio maana ninaamini Madiba ni mfano bora wa viongozi waliondesha siasa zao kwa kuunganisha watu, badala ya kuwagawa.

ALITUMIA DAWA YA UPENDO KWENYE JAMII ILIYOKUWA IMEJAA CHUKI NA AKAFANIKIWA KULINGANISHA TAIFA LAKE! R. I. P baba
Madiba, pumzika kwa amani baba Afrika!
kwa nini wewe na genge lako mnahubiri udini na ukanda kila siku, hamjui kwamba mnapanda mbengu chafu ndani ya nchi yetu.
 
Kamanda Nape Nnauye
Umeongea fact, lakini siasa za Mandela hazikuwa hivyo kama unavyodhan, soma kitabu cha Mandela which named "THE LONG WALK TO FREEDOM" ndio utaelewa kuwa upendo unatumika mahali gan na struggles wapi,

lakin pia usituaminishe ktk siasa zetu za CCM na CHADEMA tulete upendo na akat nyie ndio vinara wa kutugawa na kutubagua wananchi.
 
Last edited by a moderator:
Katika hali ya kawaida chuki kati ya weupe na weusi Afrika Kusini,chuki iliyojengwa kwasababu ya ubaguzi wa kutisha uliotendwa na serikali ya makaburu, haikua rahisi kudhani kwamba lingekua ni jambo rahisi kuwafanya watu wasahau na kusameheana na leo waishi kama Afrika Kusini moja! Nelson Mandela(Madiba) kaliweza hili. Ndio maana ninaamini Madiba ni mfano bora wa viongozi waliondesha siasa zao kwa kuunganisha watu, badala ya kuwagawa.

ALITUMIA DAWA YA UPENDO KWENYE JAMII ILIYOKUWA IMEJAA CHUKI NA AKAFANIKIWA KULINGANISHA TAIFA LAKE! R. I. P baba
Madiba, pumzika kwa amani baba Afrika!


Ujumbe sahihi na maridhawa....ni hakika Madiba ailtumia silaha moja tu ya UPENDO......naamini lisemwalo limetoka moyoni....kabisa...post hii meseji yako ktk Fb page pia vijana hawa wa kizazi cha digital wasome hii meseji toka kw kiongozi wao kijana..asante comrade....R.I.P COMRADE MANDELA
 
Back
Top Bottom