Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 4,549
- 4,127
Kuna mandamano I srael hawataki vita, chezea na Missile za Hamasi
View: https://youtu.be/fpu6s1U1LJA?si=Z4GIsWUFtJC-ty1L
View: https://youtu.be/fpu6s1U1LJA?si=Z4GIsWUFtJC-ty1L
Kuna mandamano I srael hawataki vita, chezea na Missile za Hamasi
View: https://youtu.be/fpu6s1U1LJA?si=Z4GIsWUFtJC-ty1L
Kuna mandamano I srael hawataki vita, chezea na Missile za Hamasi
View: https://youtu.be/fpu6s1U1LJA?si=Z4GIsWUFtJC-ty1L
Mbona hawasogelehi huo ukanda wao, kwahiyo hao watawala wa kizayuni watajiuua wenyewe na kujizika hapo Gaza??Hizbullah: Ukanda wa Gaza itakuwa kaburi la utawala wa Kizayuni
Maneno ya kwenye khanga.Hizbullah: Ukanda wa Gaza itakuwa kaburi la utawala wa Kizayuni
😂 Nani anawaonea huruma hao wa Israel bila kuwapiga hawakuheshimu, tatizo mnadanganywa sana na Israel anazuia media wasi records sehemu ambazo Hamasi anapiga iwe Tela Aviv au sehemu nyingi za Israel zinazopigwa na HamasiBinadamu bwana wakionewa huruma na wananchi wenye huruma juu yao, wao waajitapa et missile sasa kwa akili zako hizo missile za Hamas zimeleta madhara gani hadi sasa kwa hao waisraeli wanaoandamana?
😂 Israel ndio mwenye maneno ya kanga leo ya ngapi anatishia eti tunaingia Gaza hamna zaidi ya kuvunja majumba tu vita haviwezi.Maneno ya kwenye khanga.