Manchester utd - real madrid agg: 1-1

Manchester utd - real madrid agg: 1-1

D 007

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2012
Posts
206
Reaction score
147
Manchester utd - real madrid agg: 1-1

sir alex ferguson amesema hajutii magoli mengi waliyokosa mechi iliyopita bernabeu,

mimi pia naamin manchester utd itapata ushindi mzito na kikosi chake imara....bravo utd
 
That would just be a schoolboy error...

Ron_620x1300_1684542a.jpg
SOCKS APPEAL ... Cristiano Ronaldo arrives at Manchester airport




 
Nimeota jana Man utd tumepigwa kamoja tu hadi mwisho Man Utd 0 - 1 Madrid. Karoho kananiuma hapa, maana ndoto zangu nyingi huwa ni kweli.
 
Nimeota jana Man utd tumepigwa kamoja tu hadi mwisho Man Utd 0 - 1 Madrid. Karoho kananiuma hapa, maana ndoto zangu nyingi huwa ni kweli.
ilikuwa mchana au usiku!kama ni ndoto ya mchana isikutishe!!
 
ilikuwa mchana au usiku!kama ni ndoto ya mchana isikutishe!!
Bora ingekuwa mchana najua huwa ni za uchovu, ni usiku mkuu. Yaani hapa nimepanga nisiiangalie. Tukishinda basi nitaangalia marudio
 
Bora ingekuwa mchana najua huwa ni za uchovu, ni usiku mkuu. Yaani hapa nimepanga nisiiangalie. Tukishinda basi nitaangalia marudio
aaah mkuu kwani ndoto zako huwa zina ukweli kwa kiasi gani!!
 
nimeota jana man utd tumepigwa kamoja tu hadi mwisho man utd 0 - 1 madrid. Karoho kananiuma hapa, maana ndoto zangu nyingi huwa ni kweli.


utakuwa shabiki wa arsenal wewe , ndo wana hizo tabia
 
Ilikuwa ni April 19 mwaka 2000 katika dimba la Old Trafold...

Real Madrid waliwakilishwa na:
Casillas,
Salgado,
Karanka,
Campo,
Carlos,
McManaman,
Muheshimiwa Redondo,
Helguera,
Savio,
Raul,
Morientes.

Subs:
Illgner, Dorado, Anelka,
Baljic, Geremi, Karembeu, Julio Cesar.

Pale katikati Referee alikuwa ni Perluigi Gigi Collina toka katika viunga vya Tuscan nchini (Italy).

naikumbuka mechi hii Manchester UTD walichutamishwa sebleni kwao na kukubali kulalwa goli 3-2.

Katika mechi hii washabiki wa Man UTD na Wa Madrid woote walilipuka kwa pamoja kushangilia goli la 3 alilolifunga Raul Madrid.
Goli hili lilitiwa ladha na nakshi kwa chenga ya maudhi aliyopigwa beki wa Mnchester UTD Henning Berg na kiungo mbishi, sugu, anayejuwa mpira, na kipenzi cha waargentina hapa namzungumzia Muheshimiwa Fernando Redondo.

Mpaka mwisho wa mchezo Madrid waliwaandamisha Man UTD na kuendeleza utemi na ubabe kwa KILABU hiki cha Uingereza.

Teh teh usimchukie Sisimizi...Sukari haimalizi
 
NB:
Muheshimiwa Redondo pia ameichezea ile klabu yenye mafanikio zaidi hapa ulimwenguni...
 
sidhani.....kama mkishinda ntakupa zawadi....

Bora utaje kabisa zawadi gani ili tukishinda niweze kukudai vizuri🙂)) kiukweli najua ni mechi ngumu ila naamini tunaweza kuirarua Real!!!
 
Man utd 3 - 0 real madrid
 
Sasa wengi wana hofu na Real lakini
Ukweli yaliyoikuta As Roma 7 pale OT
huenda yakawanyemelea Real.

Real wasije kwa kujiamini sana pale wapo
wachezaji wazuri sana.
Man U lete rahaaaaaa
 
Sasa wengi wana hofu na Real lakini
Ukweli yaliyoikuta As Roma 7 pale OT
huenda yakawanyemelea Real.

Real wasije kwa kujiamini sana pale wapo
wachezaji wazuri sana.
Man U lete rahaaaaaa

this is what i feel
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom