Tukiweka ushabiki pembeni tukaja kwenye ukweli, hii game ni tough, but real madrid wapo kwenye form mbaya aje! Wameshinda el classico mbili, wachezaji wapo vizuri kiakili, wanamorali ya kiwango cha juu, baada ya kuwa na uhakika wa kuambulia angalao kombe 1la copa delaray watakapocheza madrid derby dhidi ya atletico madrid. Man u nao wapo vizuri, lakini c kwa kiwango cha madrid. Ukija kwenye individual player, Pepe, Essien, Sergio Ramos, Khedira,na hata CR7 ni watu wa kutumia nguvu sana. Rooney, vidic na Evra ndo kidogo wanaonekana kuwa watumia nguvu. Mchezo utakuwa mgumu natabiri Man U 0-2 Real madrid.