Safi nimetoka kwa Ras simba najisikia kutiririka ngeli tu"The pasture is always greener on the other side" ndicho tunachoishi nacho mashabiki wa United.
Maguire anaweza kwenda ila kumreplace Scot na Amrabat haingii akilin aisee.Abaki scot ila maguire aende tuu
English siyo mother tongue hata nikikosea vigrama viwili vitatu wala hainipi shida.Safi nimetoka kwa Ras simba najisikia kutiririka ngeli tu
Kweli kabisa napenda aggressiveness yakeMaguire anaweza kwenda ila kumreplace Scot na Amrabat haingii akilin aisee.
Hata kwa Squad tuliyonayo, Kwenye midfield, Eriksen, Casemiro Fred, Scot na VDB kama watatu wakitoka maana yake tutabaki na watu wawili tu eneo hilo na Kobbie Mainoo ameumia.Kweli kabisa napenda aggressiveness yake
Hata Maguire anaenda kuwa improve Westham ukiwapa Scot ni kama umewagawia point 4 kwenye mechi utakazokutana nazo.
Mimi simkubali sana Maguire kutokana na kuwa na individual errors nyingi sana ila kumtoa Scot kwenye kikosi ambacho unataka kumuuza Fred, Van De Beek na Eriksen ni kurudisha nyuma.
Ndiyo maana mwisho nimesema kumreplace Scot na Amrabat haiwezi kutibu tatizo kwangu Scot namuona ni upgrade ya AmrabatProblem si kuwatoa, no potential replacement
Varane kama si pancha za kila mara angekuwa mhimili wa timu shida anaumia wakati mgumu anatuachia msala wa Maguire.JUST IN:
#mufc have opened talks with Nice and Jean-Clair Todibo's entourage in anticipation of the sale of Harry Maguire.
@FabriceHawkins
Hapa anafukuzwa varane kiujanja na si maguire.
Tuliosoma kwenye mji wa kumamoto ndio tunaelewa code kama hizi
Usiwaze sana hapa tupo katika process ya rebuilding watasajiliwa bora zaidi yao,tulikywa na rundo la wachezaji wengi tena mizigo so wakiuzwa wote hao taratibu madirisha yajayo wataongezwa watu wenye faida na sio wa kukamilisha tu idadi ya wachezaji.Ndiyo maana mwisho nimesema kumreplace Scot na Amrabat haiwezi kutibu tatizo kwangu Scot namuona ni upgrade ya Amrabat
Amrabat amepambwa sana na mashabiki wa timu zote sio wetu tu hata tukipigwa ni kati ya mazoea yetu inakuwa si mara ya kwanza.Ukilinganisha na Amrabat Scot ni mzuri in everything.
Man United fans tunapenda kuhype average Joe's halafu wakisajiliwa tunaanza kuwatupia lawama Glazers.
Scot ni versatile kuliko Amrabat ni physical kuliko Amrabat ana pace kuliko Amrabat, ana aerial quality kubwa kuliko Amrabat, ana assist na kufunga kuliko Amrabat.
Kitu pekee alichonacho Amrabat juu ya Scot ni first phase build up yupo vizuri tu.
Lakini kusema unamreplace Scot na Amrabat haiwezi kubadili chochote.
Amrabat amejulikana world cup ,kabla ya hapo Hakuna aliyekuwa anamjuaAmrabat amepambwa sana na mashabiki wa timu zote sio wetu tu hata tukipigwa ni kati ya mazoea yetu inakuwa si mara ya kwanza.
Tusubiri tuone ataonesha nini,nilitamani Scott abaki ili kuongeza depth tu ila hata akiuzwa whatever ni vyema hasa kama anataka muda mwingi wa kucheza maana kwa sasa United simuoni akipata huo muda
Nasikia kafeli vipimo ,imebid aendelee hivo hivo ila hatacheza mechi nyingiSome sources at United are indicating that Hojlund’s back injury issue is more serious than the club disclosed after completing his transfer from Atalanta last week