Hata akipewa Mansoor kwa makocha hawa type ya kina 7 hag, conte , Mourinho kwa soka la kisasa ,mtatafuta mchawi na hamtampataMwarabu apewe timu
Kuna jamaa ilikuwa lzm apost utabiri wake kuwa nyumbu lzm wawe mabingwa
Hata akipewa Mansoor kwa makocha hawa type ya kina 7 hag, conte , Mourinho kwa soka la kisasa ,mtatafuta mchawi na hamtampata
Kocha unapewa pesa za usajili unaenda sokon unanunua Anthony kwa €100m mara Sancho kwa €90m ,magwaya kwa €80m , wanabisaka kwa €60m , list Ni ndefu
Je kosa la Graza Ni lipi Kama sio ubovu wa Recruitment na makocha wajanja wajanja
7 hag ameshtuka ligi ya EPL haina utani kwasasa anaogopa hata kumuondoa Degea , amefeki majeruhi ya Rashford maana bila huyo mngekuwa nafasi ya 10 na GD -20+
Wapuuzi ni wengi sikuizi na wengi ni watoto unaweza kujitutumua ukawa mchangiaji linakuja toto linaanza kukutukana japo mpira ni utani ila humu wamezidi hasa mashabiki wa team nyingine kama Arsenal ni matusi tuu
Arsenal ya soka Safi ina mafanikio gani kwenye soka la ulaya Kiufupi Mourinho pamoja na ujanja ujanja wake lakini upande wa ulaya ana mafanikio kuliko timu nzima ya arsenalHata akipewa Mansoor kwa makocha hawa type ya kina 7 hag, conte , Mourinho kwa soka la kisasa ,mtatafuta mchawi na hamtampata
Kocha unapewa pesa za usajili unaenda sokon unanunua Anthony kwa €100m mara Sancho kwa €90m ,magwaya kwa €80m , wanabisaka kwa €60m , list Ni ndefu
Je kosa la Graza Ni lipi Kama sio ubovu wa Recruitment na makocha wajanja wajanja
7 hag ameshtuka ligi ya EPL haina utani kwasasa anaogopa hata kumuondoa Degea , amefeki majeruhi ya Rashford maana bila huyo mngekuwa nafasi ya 10 na GD -20+
Yani nyie arsenal ni timu ndogo yenye imejificha kwenye kichaka cha timu kubwa,ndo maana mnaona kama hizo hela nyingi sababu ni timu ndogo na aina hela.Hata akipewa Mansoor kwa makocha hawa type ya kina 7 hag, conte , Mourinho kwa soka la kisasa ,mtatafuta mchawi na hamtampata
Kocha unapewa pesa za usajili unaenda sokon unanunua Anthony kwa €100m mara Sancho kwa €90m ,magwaya kwa €80m , wanabisaka kwa €60m , list Ni ndefu
Je kosa la Graza Ni lipi Kama sio ubovu wa Recruitment na makocha wajanja wajanja
7 hag ameshtuka ligi ya EPL haina utani kwasasa anaogopa hata kumuondoa Degea , amefeki majeruhi ya Rashford maana bila huyo mngekuwa nafasi ya 10 na GD -20+
Hoja niliyoweka na ulichojibu ni vitu viwili tofauti kabisaYani nyie arsenal ni timu ndogo yenye imejificha kwenye kichaka cha timu kubwa,ndo maana mnaona kama hizo hela nyingi sababu ni timu ndogo na aina hela.
Barcelona walitoa hela za kuwanunua
Coutinho
Dembele
Griziman
Na bado walitia timu asala kwa sababu ni timu kubwa uwezi kuta wanalalamika nyie mlitoa pound 70 tu kwa pepe mpaka leo mnalia unajua ni kwanini small team mentality.
Sisi hela zipo ndo maana hata kimafanikio sio saizi yetu tuna makombe yenye hamna kwenye kabati lenu.
Timu yenu inabidi mkubali tu ni timu ndogo ndo maana mna miaka kibao saizi Uefa mnaona kwenye TV tu.
Sisi kumwaga hela ni jadi yetu hata wakichemsha maboss watauza hata jezi tu.
Aliyekwambia mafanikio ya Soka Ni uefa Nan?Arsenal ya soka Safi ina mafanikio gani kwenye soka la ulaya Kiufupi Mourinho pamoja na ujanja ujanja wake lakini upande wa ulaya ana mafanikio kuliko timu nzima ya arsenal
Mourinho Uefa trophy
Uefa champions league 2 trophy
Uefa ueropa league 2 trophy
Uefa conference league 1 trophy
Arsenal Uefa trophy
Uefa champions league 0
Uefa ueropa league 0
Yani kiufupi Mourinho ni bora kuliko arsenal.
Kama unabisha njoo na takwimu zenu za ulaya nyie na za Mourinho tuone nani mjanja mjanja.
Poor Arsenal
Kina Ally pipi na Flano ndio wanadai hivoMANCHESTER United bingwa wa EPL 22/23
We jamaa mbona kuna mambo mapya mengi tu ya kuyaleta hapa kuliko unachokifanya hapa?Graza family waliwahi kutoa bajeti nzuri ya usajili
Madalali wakamleta Sancho kwa €80m ,misimu yote ana Goli 7
Leo anapigiwa kelele Graza aachie timu ,kosa lake Nini?
Graza family shikilieni hapo hapo hakuna kumuuzia mtu timuView attachment 2562711
Unataka matukio gan ya Sasa ,wakati Graza wanakaza uzi hawauzi timuWe jamaa mbona kuna mambo mapya mengi tu ya kuyaleta hapa kuliko unachokifanya hapa?
Jaribu kuendana na matukio ya wakati uliopo kuliko kujishusha hivi.
Haya banaUnataka matukio gan ya Sasa ,wakati Graza wanakaza uzi hawauzi timu