Manchester United (Red Devils) | Special Thread

if new casttle and spurs win sijui tu..

hongereni sana majirani..
 
Muhimu zaidi ni kushinda Game ijayo na Norwich ambayo si ngumu sana kwa ajili ya kuweka mazingira ya kuingia top four Mwaka mpya na kabla ya kumaliza January we can be on the top position
 
Tottenham na Southampton wakishinda mnarudi mnapostahili teh teh teh

Southampton washafia mbali huko wana point 24 hata Tot na Newcastle wakishinda hakuna shida cha Msingi ni Utd kushnda mechi zake hasa kipind hichi cha kumalizia mwaka kwani Timu zilizo juu yake zinakutana zenyewe kwa zenyewe hivyo kuna timu zitadrop points kuanzia leo kati ya Man City na Liver, next matches Liver na Chelsea, Arsenal na Newcastle hapo lazima tukamate watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…