mkurya org.
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 1,571
- 1,696
Yani tumlipe Pogba ila rudger tumshindwe...???Mna hela ya kumlipa?
Dogo unauliza swali la kijinga sana.Mna hela ya kumlipa?
Watu wazima mashabiki wa chelsea ni wachache sana, wengi tupo Man U, Liverpool na Arsenal.We kenge mi sio dogo
in term of work rate they do differ, martial is very sluggish, the kid seems to be very committed to what he is doing there is a lot more to expect from elangaI hope he is not another Antony.
wewe hapa unaimba kwaya?Unakujaga kutupigia kelele kwenye jukwaa letu la chelsea kumbe wewe ni nyumbu?
Sasa makelele yote huwa ya nini?
Naona mpo kwenye siku zenu.wewe hapa unaimba kwaya?
ukishapakuliwa kisamvu unaharibika kisaikolojia unaanza kuparamia kila mwanaume akutulize na muwasho. huku kwetu hatuna rainbow society rudi cheltako ukatulie na watu wa aina yakoNaona mpo kwenye siku zenu.
Damu hazikatiki tu?
Sisi tunakuja kuchukua nafasi ya 3.....Nyie matakataka muna nini cha kusema? Uyo kocha enu mpya kafanya maajabu gani hadi sasa??
Pedi zinatosha... Wanaume tukawanunulie?ukishapakuliwa kisamvu unaharibika kisaikolojia unaanza kuparamia kila mwanaume akutulize na muwasho. huku kwetu hatuna rainbow society rudi cheltako ukatulie na watu wa aina yako
Sisi tunawaza kubeba ubingwa Hiyo nafasi ya tatu chukueni mkuu..Sisi tunakuja kuchukua nafasi ya 3.....
Hamkai namba moja tena mkuu.....imeisha hiyo hadi mwakani mwanzo wa ligiSisi tunawaza kubeba ubingwa Hiyo nafasi ya tatu chukueni mkuu..
Mkuu ni suala la muda tu ..kukaa juu pale ilishatabiriwa na wakuu wa mamlaka.Hamkai namba moja tena mkuu.....imeisha hiyo hadi mwakani mwanzo wa ligi
Pale juu kuna upepo mkali sana, mtu goigoi kama wewe huwezi pahimili.Mkuu ni suala la muda tu ..kukaa juu pale ilishatabiriwa na wakuu wa mamlaka.
utadhani kocha wa leicester city ni chinua achebe dadeki, yani hana mfumo wowote kwenye hivyo mechi, wanachezewa robo tatu uwanja sio nusu tena dah, nasikitika kila nikiwaza eti kuna watu walikuwa wanampigia upatu brenda fassie awe kocha wetuCity wako vizuri sana, utafikiri ni ps 4 wanachezeshwa...... Brendan rodgers hana uwezo wq kutupa mafanikio kwaile mid yao alafu hata pass 10 wanashindwa leo
youri tielemans amesababisha penalty hapa....4-0 hawajafika hata half time
Mkuu ni suala la muda tu ..kukaa juu pale ilishatabiriwa na wakuu wa mamlaka.