Kuna kitu cha kujifunza hapa kwa Bodi ya Man United kabla haijawa too late
Hii kujivunia "Big Brand" iangaliwe kwa Makini.
Tulishazoea kuwa linapokuja suala la Mapato Man United inakua juu kwa kila idara.
Lakini msimu uliomalizika naona kwenye Mapato ya TV imekuwa wa 5, imepitwa na hata Spurs.
View attachment 1202424