Daemusin bado anaamini kwamba bado mapema sana swala.kumnyamazisha
teh teh huyu swala wa malikia anataka kunifanya niombe radhi mchana kweupeee.
kuna maeneo ukimruhusu auweke sawa mpira (cut inside) ujue adhabu kali itamkuta kipa wako.
ananikumbusha balaa la arjen robben na mguu wake wa paka alipokuwa kwenye ubora wake.
 

Hii itakuwa vizur maana wawekezaj wataanza kusepa timu linavulunda nani apate hasara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…