Manchester United (Red Devils) | Special Thread

tukomae na fred tu, akipiga tizi la kutosha atakua hakamatiki, huku tunampa nafasi kidogo kidogo Garner
Wanasema hela ipo lakini anatafutwa mchezaji sahihi

Sio kukurupuka kununua mtu halafu Baada ya muda flani mnaanza kujilaumu

Kwa sasa tutatumia hao tulionao, lakini ikitokea fursa watanunua
 
Man Utd wapo tayari kulipa huo mshahara aondoke, lakini bado hataki hivyo sio sababu ya hela tu, maybe Jamaa bado anataka kuprove yeye Ni elite player?
Kumuondoa Sanchez na kuwa tayari ku subsdise mshahara wake ni ushamba mwingine wanataka kufanya United

Akiondoka Sanchez depth ya kikosi pale mbele havitakuwepo, labda kama kuna mpango wa kumuondoa moja kwa moja
 
Kwa wale wanaombeza Rashford Kuna stats muhimu Hapa.

View attachment 1182097
Toka Rashford aanze kucheza Man UTD, Hakuna mchezaji yoyote epl mwenye magoli mengi against top 6 teams Kushinda yeye.

Mkuu Rashford amemzidi mpaka Mo Salah?

Mkuu kuna stats nyengine kama hizi huwa ni useless! Coz kuna Yule dogo wa Man City Gabriel Jesus kwenye Big games huwa Mzururaji, Lakini akikutana na Vibonde huvichakaza kwelikweli.

Ndiyo ikagundulika kuwa Wafunge Sana Vibonde kuliko Top 6 ili update mafanikio.
 
Mo Salah ana misimu miwili hivyo sio fair kucompare na Rash, mwenye misimu 3 na kidogo.

Ila still Salah anapotea naye at least mechi zetu.
 
Huyo Maguire alikuwa Leicester city nc ilibeba ndoo ya EPL akiongoza safu ya Ulinzi..


Nimejisikia aibu kusoma hii comments
Ni lini Maguire aliingoza Leicester city kuchukua ubingwa?

Raha mpira ni kuongea ukweli

Mimi niliangalia mechi zote za Leicester 2015/2016 kuanzia December
Sikuwahi kuona kikosi cha Leicester kina beki anaitwa Maguire
Nakumbuka vipande viwili vya watu HUTH na MORGAN pale nyuma
 
MAGUIRE Aliiongoza Leicester city kubeba EPL ,EPL ya Nachingwea au ya Buguruni.
Acha porojo
 
Casper schmichel
Simpson
Wess Morgan
Christian Fuchs
Robert Huth
Ng'olo Kante
Dany Drinkwater
Ben Chilewell
Riadh Mahrez
Shinji Okazaki
Leornado ulloa
Jimmy Vardy
Demaray Gray
 
Casper schmichel
Simpson
Wess Morgan
Christian Fuchs
Robert Huth
Ng'olo Kante
Dany Drinkwater
Ben Chilewell
Riadh Mahrez
Shinji Okazaki
Leornado ulloa
Jimmy Vardy
Demaray Gray
 
Halafu huo msimu yule top scorer wao kevin nugent alisepa.....jamaa kafunga sana championship kuja ligi kuu kawa kilaza
Casper schmichel
Simpson
Wess Morgan
Christian Fuchs
Robert Huth
Ng'olo Kante
Dany Drinkwater
Ben Chilewell
Riadh Mahrez
Shinji Okazaki
Leornado ulloa
Jimmy Vardy
Demaray Gray
 
Huyo jamaa anatabia za kishenzi sana humu anataka anachokisema yeye wengine waitikie ndiyo kama anaamrisha demu wake
Wewe Ng'ombe acha kuniita Mimi mshenzi, imbecile wewe... Nimetoa angalizo kwa nilichoandika umeishia kuvamia usichokijua taahira wewe ..


Uzuri wangu ni kwamba ukija kijinga jinga na Mimi nakuja kijinga jinga ..That's my principle .. Sasa nakusubiri uje kilofa unijibu kama unavyomjibu house girl wenu nikumalizie akiba ya makombora ambayo huwa nayanyunyiza kwa mataahira kama wewe ambao mmekimbia Dozi za milembe..


Mbugila wewe.
 
Sorry, Mbugila ina maana gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…