Unatakiwa ujue kuwa ili usajili ukamilike. Is not about money tu.. mchezaji na yeye itabidi aridhie binafsi.
J.felix alikataa kabisa kuja man u yeye kama yeye. Team haiwez kumlazimisha.
Halaf kuna tabia ya wachezaj na timu zao kuona man u ni kama sehem ya kutajirika. Yaan wanapiga bei kubwa. Mambo ni mengi na usajili si mrahis kihivyo.