Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Logic gan wakat unadanganya watu Maguire kubeba EPL ,wakati Maguire kaja Leicester juzi juz tu hapa
Tena wewe uliechomoa betri pale msamvu , hivi inaelewa logic ya nilichoandika??

Naona umeamua kuja kishari , nikuonye tu Mimi niko tayari kupambana na wewe kwa vita ya aina yoyote .. Kwasababu unataka kuniharibia siku Yangu baada ya kuwa na Furaha isiyomithirika kutokana na ushindi mororo wa 4-0 kutoka kwa wale vijana wa daraja la Manzese ( Chelsea ) .. Nakuomba ujibu tena " Kibwege" uinr nitakavyokuangusha chini , nikuchomoe betri,l na kuiba mafuta ili uripuke kisawasawa.. Ng'ombe wewe
 

Naww nikaongo kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…