Mbona unakata tamaa bila hoja mkuu?? Mechi moja, nayo si kwamba kiungo imepwaya kiivyo na pengine ilikuwa game approach, una-argue as if tumefungwa goli 10?Najiuliza mpaka sasa.
Kama waliweza kusajili mabeki, walishindwa vipi kusajili viungo?
Joao Felix na Bruno Fernandez ilikuwa addition bora kabisa pale O.T.
Mzigo wote wa kiungo unamuangukia Pogba.
Kiungo kikifa, lawama zote kwa Pogba. Mambo yakiwa fresh, shangwe kwa McTomminay.
Hii timu ina fustrate sana.
Mkuu Joao Felix ni namba 10 na si kiungoNajiuliza mpaka sasa.
Kama waliweza kusajili mabeki, walishindwa vipi kusajili viungo?
Joao Felix na Bruno Fernandez ilikuwa addition bora kabisa pale O.T.
Mzigo wote wa kiungo unamuangukia Pogba.
Kiungo kikifa, lawama zote kwa Pogba. Mambo yakiwa fresh, shangwe kwa McTomminay.
Hii timu ina fustrate sana.
Huyo Maguire alikuwa Leicester city nc ilibeba ndoo ya EPL akiongoza safu ya Ulinzi.. Wewe na wachezaji wako viberenge mliambulia nafasi ya ngapi ?? ...Kwa muono wangu mdogo, Maguire naona bado sana na mtakuja kumtukana ,mtu pekee ambaye mmepata ni Bisaka , huyu jamaa ana pandisha timu anakaba pia , ila kwakuwa mlishinda 4-0 ,basi Maguire anajificha kwenye takwimu ,ila tukija reality Maguire ni mzito ,hivo akikutana na viberenge au mchezo wa kasi sana ,anapotea ,hili wana man u wengi hamtaki kulisikia ,lakini muda utasema
Niungane na raisi wa Napoli aliyesema thaman ya Maguire ni £30-35m , natoa mech 5 ,mtakuja hapa kutafuta mchawi ni nani
Hebu fikiria Chelsea mbovu hii isiyo na matumain ya hata ya nafasi ya 10 ,ilikuwa ibatengeneza nafas clear mbele ya Maguire ,kinachoficha udhaifu niliouona kwa Maguire ni takwimu za hapa na pale ambazo hizo takwimu hata beki mbovu Mustafi au lovren wanazo kuzidi Maguire ,hivo wana manchesta msijipe moyo na matarajio makubwa kwa magwaya .
Kwa Bisaka sina neno ana kila kitu ambacho FB anatakiwa awe nacho, ila Maguire mhhh muda utasema.
Shetani , mchawi , mzandiki , ibilisi, Joka kuu, mlozi , WEWEKwa muono wangu mdogo, Maguire naona bado sana na mtakuja kumtukana ,mtu pekee ambaye mmepata ni Bisaka , huyu jamaa ana pandisha timu anakaba pia , ila kwakuwa mlishinda 4-0 ,basi Maguire anajificha kwenye takwimu ,ila tukija reality Maguire ni mzito ,hivo akikutana na viberenge au mchezo wa kasi sana ,anapotea ,hili wana man u wengi hamtaki kulisikia ,lakini muda utasema
Niungane na raisi wa Napoli aliyesema thaman ya Maguire ni £30-35m , natoa mech 5 ,mtakuja hapa kutafuta mchawi ni nani
Hebu fikiria Chelsea mbovu hii isiyo na matumain ya hata ya nafasi ya 10 ,ilikuwa ibatengeneza nafas clear mbele ya Maguire ,kinachoficha udhaifu niliouona kwa Maguire ni takwimu za hapa na pale ambazo hizo takwimu hata beki mbovu Mustafi au lovren wanazo kuzidi Maguire ,hivo wana manchesta msijipe moyo na matarajio makubwa kwa magwaya .
Kwa Bisaka sina neno ana kila kitu ambacho FB anatakiwa awe nacho, ila Maguire mhhh muda utasema.
Hahaha Daud baadhi ya uandishi wako unanifurahisha sana(kubwa kuliko ni ile kampeni ya kumtoa Maurinho).Huyo Maguire alikuwa Leicester city nc ilibeba ndoo ya EPL akiongoza safu ya Ulinzi.. Wewe na wachezaji wako viberenge mliambulia nafasi ya ngapi ?? ...
Huyo unaesema ni mzito ndio alikuwa Man of the Match ... Sasa wewe RAIA unaeishi Maramba mawili unapata wapi ujasiri wa kusema unachokisema ... Endeleeni kupiga ramli .. Ushindi wa Pre season mlisema ni preseason , .. Chelsea kauliwa 4-0 mmeanza kuja na story za Maguire Simbilisi wewe...
Tulieni hivyo hivyo dawa iingie vizuri ...
Nmekuelewa Sana majukumu mengi na mb/data vinasabishaga watu wapotea jamvini....Niko kiongozi majukumu tu
Sema nini tutalipiza tuu..
Hey.Mbona unakata tamaa bila hoja mkuu?? Mechi moja, nayo si kwamba kiungo imepwaya kiivyo na pengine ilikuwa game approach, una-argue as if tumefungwa goli 10?
Wenzetu wanaenda kwa vigezo vinavyopimika wanapofanya tathimini, hawaangalii tuu kwa macho. Jana kuna mdau kashusha data za Tominay hapa, sasa wewe una-argue kwa vigezo vp.
Excuses zinakuja muda si mrefu.Mkuu Joao Felix ni namba 10 na si kiungo
Unamletaje pale wakati unataka Angel Gomes (japo bado hajafika kiwango chake) acheze
Pia kwa umri wa Joao ambaye ni under 20 ni risk kumleta, halafu utegemezi wote ukauweka kwake,aki flop ndio basi tena
United waliboronga sana kuacha kumsajili Bruno Fernandez, kwa kweli hadi leo sijajua hata ni sababu gani iliyosababisha wasimnunue kwanza yeye mwenyewe alikuwa anataka kuondoka, pili bei yake haikuvuka hata £65 million. Unampata wapi kiungo wa kufunga magoli 29 na assist za kutosha?
Hey.
It's a plain fact mzigo wa kiungo upo chini ya pogba.
Msimu uliopita tulizingua kwa kuwa na timu mbovu kila kona.
Wachezaji muhimu wameondoka hakuna replacement.
Deadwoods na wagonjwa wamejaa kwenye timu hakuna action yeyote.
EPL ni Marathon League. Kuwafunga Chelsea isitupe kiburi kwamba timu imekamilika.
Msimu ulioisha kwenye mechi 7 za mwanzo tulishinda mechi 4 kwa goli 4 - 0.
Mwisho wa msimu unajua tumeishia nafasi ya ngapi.
Uko sawa mkuu... timu yetu haiko vzr kwenye kiungo na ushambuliaji.Hey.
It's a plain fact mzigo wa kiungo upo chini ya pogba.
Msimu uliopita tulizingua kwa kuwa na timu mbovu kila kona.
Wachezaji muhimu wameondoka hakuna replacement.
Deadwoods na wagonjwa wamejaa kwenye timu hakuna action yeyote.
EPL ni Marathon League. Kuwafunga Chelsea isitupe kiburi kwamba timu imekamilika.
Msimu ulioisha kwenye mechi 7 za mwanzo tulishinda mechi 4 kwa goli 4 - 0.
Mwisho wa msimu unajua tumeishia nafasi ya ngapi.
Muda utatuambia.Uko sawa mkuu... timu yetu haiko vzr kwenye kiungo na ushambuliaji.
Angalau kidogo kwenye ulinzi kuna afya lakini Unapopwaya kwenye kiungo ukategea beki wafute makosa yao kwa game labda 20 ni UONGO.
Kikubwa OLE anajua timu yake itapataje matokeo kulingana na target yake,. kufikia Dcember dirisha dogo la usajili.
Kwa sasa wachezaji wacheze MAPAFU YA MBWA kama BUNLEY wajitoe haswa huku tukiwategemea NYOTA WETU kama POGBA, RASH, MARTIAL, HM5 na GEA Waibebe timu.
Nakusahihisha Maguire kaja juz hapo LeicesterHuyo Maguire alikuwa Leicester city nc ilibeba ndoo ya EPL akiongoza safu ya Ulinzi.. Wewe na wachezaji wako viberenge mliambulia nafasi ya ngapi ?? ...
Huyo unaesema ni mzito ndio alikuwa Man of the Match ... Sasa wewe RAIA unaeishi Maramba mawili unapata wapi ujasiri wa kusema unachokisema ... Endeleeni kupiga ramli .. Ushindi wa Pre season mlisema ni preseason , .. Chelsea kauliwa 4-0 mmeanza kuja na story za Maguire Simbilisi wewe...
Tulieni hivyo hivyo dawa iingie vizuri ...
Acha kunisahihisha kabla hujaelewa logic ya nilichoandika ...Nakusahihisha Maguire kaja juz hapo Leicester
Hahaha Daud baadhi ya uandishi wako unanifurahisha sana(kubwa kuliko ni ile kampeni ya kumtoa Maurinho).
Sawa Maguire na Bisaka wameimprove upande wenuRefa kawabeba sana hongereni kwa ushindi wenu wa kwanza ..
Magwaya na Bissaka bado hawaja improve chochote, ni gemu tu ilikuwa upande wenu..
#TukutaneDarajani
Ha ha ha unachekesha sana. Yaani waliofungwa Chelsea halafu unawafanyia tathmini Man U. Hii kwa upande mwingine unamaanisha Chelsea ni katimu kadogo sana kulinganisha na Man U.Nmekubali tumepigwa lakini hii Man united sio timu ya kutegemea kuleta ushindani msimu huu ..mtaenda hivi baada ya mechi saba tutakuja kuongea tena..
Logic gan wakat unadanganya watu Maguire kubeba EPL ,wakati Maguire kaja Leicester juzi juz tu hapaAcha kunisahihisha kabla hujaelewa logic ya nilichoandika ...
Refa kawabeba sana hongereni kwa ushindi wenu wa kwanza ..
Magwaya na Bissaka bado hawaja improve chochote, ni gemu tu ilikuwa upande wenu..
#TukutaneDarajani
Liverpool wanaenda kutonesha vidonda leo, nasubiri kusikia kelele za maumivu makali sana. 😂😂😂 | |