Nimetaja Liverpool,Juventus, Barcelona zote zimetumia fedha nyingi kuliko United but majibu yako umeziona PSG & Man City tuOk ni kweli United tuna generate pesa nyingi kuliko hao wote sema huwezi kutufananisha na PSG au Mancity coz sisi pesa ni za mapato ya ndani ya Club (business), wakati PSG,Chelsea na City wao zinatoka kwa maSugar Daddy wenye pesa chafu hvyo lazima uelewe kujenerate pesa nyingi haimaanishi kwamba ndo unaongoza kwa pesa hvyo hatuwezi kuwa sawa kwenye transfer budget!
Pia labda hukunielewa vizuri hapo juu hapa swala sio pesa kutolewa hapa swala ni hizo pesa unampa nani?,mourinho alipewa pesa akasajili alafu baadae ye mwenyew ndo akaanza kuponda eti kikosi kibovu,vile vile alisema Kuingia top 4 ni labda Miracle itokee angalia OLE alichofanya na wachezaji hao hao.
Nimetaja Liverpool,Juventus, Barcelona zote zimetumia fedha nyingi kuliko United but majibu yako umeziona PSG & Man City tu
So kama klabu ina-generate fedha haitakiwi ku-invest back kununua wachezaji ??
Mourinho anajulikana hajabadilika kabla hujampa kazi lazima umfahamu .
Jose made many mistake (tactical & technical) but his opinion/challenge zake against Woodward ndio zimewafanya Glazers wamefikiria kubadilisha structure ya klabu
So ni uongo Liverpool,Barca,Juventus hawajatumia fedha nyingi kwenye usajili kuliko United for last 3 yearsShida yako ni unataka kufananisha Club wakati kila Club ni tofauti na ina situation tofauti! Kwanza Liverpool hawajatumia pesa nyingi kuliko sisi huo ni uongo, ndani ya kipindi cha misimu mitatu sisi tumetumia pesa nyingi net zaidi ya wao! Pili wamemetoka kumuuza Coutinho Barcelona kwa Million 142,hvyo ilikuwa ni lazima wasijili vzuri kumreplace vile vile walifika Champions League finali hyo huvutia zaidi wachezaji wazuri kuja,na Klopp amejenga heshima na ameaminiwa na club yake na ndo maana wanampa mpunga.
Juve na Barca pia ni hvyo hvyo,Barca anajiandaa na maisha baada ya Messi na wote wana makocha ambao wanaaminiwa na club zao kuwafikisha mbali huwezi fananisha na situation tuliokuwa nayo na Mourinho chief!
So ni uongo Liverpool,Barca,Juventus hawajatumia fedha nyingi kwenye usajili kuliko United for last 3 years
Tumalize huu mjadala
Jose made many mistake (tactical & technical) but his opinion/challenge zake against Woodward ndio zimewafanya Glazers wamefikiria kubadilisha structure ya klabu
Hahaha...tuwaonee huruma kidogo jaman..wabaki na mbappe tu hata tukifawafunga wapinzani wasije sema mmeifunga psg bWakuu hakuna taarifa za kuongezeka majeruhi wa PSG??
.
Ni Cavan na neymar tuWakuu hakuna taarifa za kuongezeka majeruhi wa PSG??
.
That man is on another level ndinho ndio truly engine ya pep ukiweza kumfanya asiweze kucheza kwa raha asifanye matukio yake yale muhim baas city unaweza kuwayumbisha
Fernandinho ni mchezaji mzuri sana,kazi yake pale dimbani imefanya Jorginho apotee kabisa pale uwanjani.
Sarri amrudishe kante eneo lake, Jorginho hamna kitu.
Shughuli anayopiga Fernandinho ndio inayopigwa na Herrera pale MUFC.
Ata united tunaweza kufanya vile maboss wakiamua lakn shida lazma tuwe na scouting nzuri tupate watu kazi kweli ambapo hili linaweza kufanikishwa kama united tutapata sport director mzuri wakiweza Kum hire mtu makin hopefully tuna kikos potential sana ambacho kinatakiwa kiongezewe back up tu kiwe more than competitiveCity wamewekeza kweli.
Fikiria anatoka Kun anaingia Jesus, wote hawa wanaweza kupunguza mabeki na ni tishio kwa walinzi.
Kwetu Lukaku hata mpira kuutuliza ni kazi,kuuweka kifuani ndio mtihani kabisaa.
Bench la Citizens ukiliangalia linakupa matumaini maana wachezaji wapo kwenye viwango vyao,sisi leo anacheza vizuri kesho hamna kitu.
Na Thomas MeunierNi Cavan na neymar tu
yes ni Cavani na Neymar ila Cavani bado hakuna uhakika kama hatocheza keshoNi Cavan na neymar tu
Tuiangalie mechi yetu ya kesho, tuachane na hao Chelsix;
Tukianza na PSG kesho nakiona kikosi kikianza kama ifuatavyo;
Buffon
Kehler Kimpembe Silva Bernat
Paredes Marquinhos Veratti
Di Maria Mbappe Draxler
>Kehler anaweza kuanza kwa sababu Meunier ni majeruhi, na huyu Mjerumani Kehler anaonekana anaweza kuwa mbadala mzuri.
>Marquinhos naona akimuweka benchi Dani Alves kesho kwa sababu alicheza vizuri kwenye mechi zote za Liverpool vs PSG kwahiyo sioni nafasi ya Alves hapo kesho.
>Adrien Rabiot nasikia hata kwenye kikosi kinachokuja hatokuepo kwa sababu hataki kuongeza mkataba anataka kusepa.
>Tutarajie kumuona Paredes kesho akianza au akitokea benchi.
>Kesho Mbappe atakaa pale mbele aliaweze kuwapa tabu mabeki wetu kwasababu ndio mtu pekee aliyebaki wa kuogopwa kwasababu ya mbio zake kama kweli Cavani hatokuepo.
>Julian Draxler na Angel Di Maria ndio watakao tuletea tabu maeneo ya pembeni kama watafanikiwa kupadhibiti na kumpitishia mipira Yule kiberenge Kylian Mbappe Lotin.
>Kama kocha anaroho ngumu sana basi atamuanzisha Di Maria kushoto, Mbappe kulia na pale mbele atakaa Choupo Moting.
Kwa upande wetu naona kikosi kikianza kama ifuatavyo;
Rashford
Martial Pogba Lingard
Matic Hererra
Shaw Bailly Lindelof Young
De Gea
Kikosi chetu kitaanza hivyo kama wengi tunavyotarajia.
>Rashford atakuepo kwasababu anaonekana kuwa kwenye wakati mzuri kuliko Lukaku.
>Martial atamuweka nje Sanchez, kwahiyo Sanchez ataweza kutokea benchi kulingana hali ya mchezo itakavyokuwa.
>Matic na Hererra shughuli yao inajulikana.
>Bailly atamuweka nje Jones kwasababu Bailly anaweza kukimbizana na Yule kiberenge wao pale mbele, ingawa kama atazidiwa tutarajie kuona akipata kadi nyekundu kwasababu Bailly akilizake huwa anazijua yeye tu.
>Kimsingi mpaka sasa mechi iko upande wetu kabisa labda tushindwe wenyewe tu, maana kama angekuepo Neymar, Cavani na Meunier basi kazi ingekuwa ni kubwa zaidi, ndio maana hata kwa ale tunaobeti tunaona kabisa odds za Man U zimeshuka sana mpaka 2 wakati kipindi Mou yupo odds zetu zilikuwa 5+…
(Naomba kesho tuwepo humu ndani, marafiki zetu wa Team za Alhamisi watakuja kututembelea na wengine watakuja kujifariji baada kipigo kikali walichokipata)
GGMU…GGMU..GGMU