Manchester United (Red Devils) | Special Thread

..................."Some players i brought in disappointed me. They like outside life more than football life. They like their pets more than football, they like their new born babies too but they forget football gives them money" #MUFC
Jose Mourinho: "Manchester United is not the only club to have such difficulties, it happens to every big club. Liverpool has experienced it before, but now they are coming good, so it is just a matter of time" #MUFC
Jose Mourinho: "They(Liverpool ) have experienced it over a decade?. But over here it hasn't been long. May be it could be shorter" #MUFC
Jose Mourinho: "I'm not leaving this team today. Not tomorrow. Some players Will leave this club but i Will still be here. Some(players) think they are bigger than this club but i Will say no. They act like Hip hop or rap stars" #MUFC
 
Jamaa unafanya argument vizuri sana players wengi Man United wana masiara
Cha msingi ni kutia hela sio fukuza fukuza haitosaidia kama hautoi hela mfano mdogo angalia Chelsea wakifukuza kocha ajae anapewa hela
Na hata chelsea aliyoacha mourinho conte mwenyewe aliichezea msimu wa kwanza alibeba ndoo haikuwa timu mbovu unauza costa unanunua morata ilikuwa imetimia kila idara na usajili wake unafahamika akitaka mtu tekeleza sio huku wanavutana hadi ed woordward apime kama jina la huyo mchezaji linauza jezi
 
Na ndio maana niliwahi kuchangia huko nyuma Man u isipoangalia itamridhi Arsenal ya Arsene Wenga ya kubana mfuko hadi mnaambulia Europa kila mwaka
 
Point mkuu hebu pata picha tungempata greizman,perisic na tobby kungekuwaje?

Kama huyo greizman kuna muda alikuwa tayar kuja tukavutana wee kishatukatua kwa lukaku greizman ni mzur kwa mfumo wa mourinho na ndio hata atletico madrid wanaucheza mzur sana kwa counter attack
Na ndio maana niliwahi kuchangia huko nyuma Man u isipoangalia itamridhi Arsenal ya Arsene Wenga ya kubana mfuko hadi mnaambulia Europa kila mwaka
 
Haya mambo ndo anayoambiwaga martial na mourinho lakin anaaambiwa kocha wa hovyo kwa kiwango cha sane lakin bado pep kamkalia kooni vipi sisi martial?



"I want all my players to be focused and when they do that there is no problem at all, when they don't do that they know what happens..."
 
Ni kweli Mkuu ila nae hana uwezo wowote.....yan hata kuifunga Derby county anataka usajili wa maana hahahaha goli lenyewe la kusawazisha tulipata kwa krosi na yeye akashangilia hahahahahahah
 
Wachambuzi wanakuambia msimu huu matic kadrop. Halafu jamaa ni mzito.
wachambuzi gani hao? Matic alifanyiwa surgery after world cup
akachelewa kuanza mazoezi na baadhi ya game amekosa, alivorudi akapata red! tupo game ya saba too early for that! au unazungumzia uefa na carabao?
 
Mkuu hilo kombe mwanzo kabla hata ya ujio wa hawa makocha timu ndogo zilikuwa zinatamba sana wigan mwenyewe kamfumua city mwaka jana arsenal alikula chuma 4 na nottingham forest
Ni kweli Mkuu ila nae hana uwezo wowote.....yan hata kuifunga Derby county anataka usajili wa maana hahahaha goli lenyewe la kusawazisha tulipata kwa krosi na yeye akashangilia hahahahahahah
 
hii kauli angetoa Mou ingekuwa ni headline
 
Mkuu angekuwa yeye ni kocha mzuri angefanyia kazi issue ulizotoa ila anaendelea waweka hao wachezaj alafu tactics mbovu
 
Nimemuona Pogba na Martial kwa mbali
 
akisema Mourinho anaonekana mbaya lakini discipline ni muhimu kwa wachezaji hao kina Pogba waache waende Barcelona tuone kama wataendelea na ujinga wao! Juventus tu penyewe labda Dybala ndio mtoto mpendwa wa Allegri ila wengine ni discipline mwanzo mwisho! hakuna kutumia simu wakati wa mazoezi nk!
 
Jamaa unafanya argument vizuri sana players wengi Man United wana masiara
Cha msingi ni kutia hela sio fukuza fukuza haitosaidia kama hautoi hela mfano mdogo angalia Chelsea wakifukuza kocha ajae anapewa hela

kwakweli huyu jamaa na mwenzake radika wako vizuri sana,

kuna watu hadi leo hii ukiwaambia hii timu haina wachezaji wa kushinda mechi, utaambulia matusi

-kuna watu bado wanaamini hii timu ni sawa na Liverpool ya klop.
 
Jose Mourinho: "Another striker? Yes Yes we need a striker because Lukaku sometimes sweats too much, it covers his eyes and misses some chances(Laughs). We are looking at another big striker as an option."
Anatudanganya hapa ili tutulie mpaka msimu ujao atuletee bwabwa jingine
 
Mkuu hilo kombe mwanzo kabla hata ya ujio wa hawa makocha timu ndogo zilikuwa zinatamba sana wigan mwenyewe kamfumua city mwaka jana arsenal alikula chuma 4 na nottingham forest
Kipigo cha city toka kwa wigani sio sawa na cha kwetu Mkuu kweli tunashindwa wafunga derby mwenye kikosi cha paun mil 45 kweli mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…