Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Its really amusing seeing some Arsenal fans talking trash about United..... of all the other rival teams, I understand their trauma of having won nothing for a long long time makes them spew hatred towards United, but seriously why even bother when you know your team's highest ambition year after year is to be just in the top 4 or above spurs. All the bitters only make United stronger and the fans cant be any more proud of our team that never gives up..... seriously bitter arsenal fans should stop commenting trash, its pathetic.
 
Reactions: Nzi

Wacha fujo wewe, nyinyi tegemeeni rehema ya UEFA kucheza CL, bado mnawakomalia kina Giggs ambao ni vikongwe miaka 38, hamjaweza kuongeza vipaji kutoka kwa wachezaji chipukizi. Tutaona kama brown envelopes zinaweza kuwepo au kuhimili kufika mwezi wa tano lakini hata hivyo technology inakuja hivyo sahauni ushindi. Muulizeni somo yenu Romano ambaye amekumbwa na kesi pamoja na recession, mpira wakuhonga utaishia kwenye majuto mjukuu.


BTWtangu umerudi kutoka ICU naona unataka tuamini kwamba wewe ni mkongwe kumbe nikilaza tu ambaye huna lolote bali kuwewesekaweweseka tu kama chama chamajambazi. Happy new year.
 
Sasa ni mwendo wa 5-0 Man Utd wenzangu tuendelee kushangilia hizi dozi nono tunazozitoa kuelekea mwaka mpya.
 
Mapicha yalikuwa yanagoma kupakuliwa jana ndo yanakubali saa hizi

 
Ni vema mjipongeze man.... Ila ile RED unaizungumziaje.... jibu Kisport....


Hata kama haikuwa halali bado Wigan ni wachovu tu kwa Man Utd miaka yote huwa wapo 11 na wanafungwa magoli mengi tu. tumeshakutana mara 13 na zote tumeshinda
 
Ni vema mjipongeze man.... Ila ile RED unaizungumziaje.... jibu Kisport....
Kila timu inabebwa ,tofauti ni jinsi ya kuitumia hiyo nafasi.Unakumbuka penati waliyopewa Newcastle dhidi yetu au David Luiz alitakiwa kupewa red card refa akapeta.
Sisi tunasonga na timu yetu,kikosi cha jana kilikuwa kinatia wasiwasi
 
Hata kama haikuwa halali bado Wigan ni wachovu tu kwa Man Utd miaka yote huwa wapo 11 na wanafungwa magoli mengi tu. tumeshakutana mara 13 na zote tumeshinda

Football isn't history, wacha udaku.

Kila timu inabebwa ,tofauti ni jinsi ya kuitumia hiyo nafasi.Unakumbuka penati waliyopewa Newcastle dhidi yetu au David Luiz alitakiwa kupewa red card refa akapeta.
Sisi tunasonga na timu yetu,kikosi cha jana kilikuwa kinatia wasiwasi

Nyie mnabebwa zaidi khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee
 
Ni vema mjipongeze man.... Ila ile RED unaizungumziaje.... jibu Kisport....

Red was not fair kwa kweli...naona refa alikurupuka pale.

Swali jingine?

BTW it always getting controversial when the decision turns in favor of Manure and nt otherwise, ukitaka kuamin hilo go out and dig uone matukio mangap refs wametunyonga vis a vis mangap tumepeta, nonetheless matukio ya tam zingine, manake isije ikawa n sie tu ndo twaangaliwa.
 
Ila natambua hofu yenu kuu ni ipi, mnatujua kuwa sie hatujui kuanza ligi, bali kumalizia ligi....
Mnajua kua tukikamata usukani pale juu ndio hamna chenu..
Mnajua kuwa 'kichaa' chenu cha kupoteana kwa EPL karibia kinaanza (Feb/March)....hahahaha!
Kwaio hofu kuu imewajaaa, msijali, sisi ndio Manchester United, we are up for the 20th title..
Piga keleeleee weeeeeee....lalamika weeeee....imba weeeee...ila at the end of the day WE ARE THE CHAMPIONS.
GGMU!
 


Angalia mafarisayo yasikusikie yatakupiga mawe
khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 

Angalia mafarisayo yasikusikie yatakupiga mawe
khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Tatizo lenu huwa hamuangalii mechi nyingine, u alwayz watch arsenal na top four timu pekeyake, marefa wa uingereza ni wabovu tu na sio kwamba wanaibeba man utd. Maamuzi mabovu yameshatokea mara nyingi tu sio upande wa man utd peke yake
 
We're hitting top form at the right stage of the season like we always do! Every City fan out there is wary of the threat from the Red Army and they'll be praying to God they don't slip up even once because if they do.. they're done!
 
Wacha angalia Channel 5

Inabidi uzoee kuangalia channel5 ni kila alhamisi mkuu kwenye mpambano wenu wa Europa cup leo bado ni J4 tu.

Khe khe khe khekheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


BTW Wacha bado amelala si unajua tena mambo ya Alaska bado majogoo yanawika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…