Gwakukahja
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 1,119
- 740
Toka 2G mpaka sasa dunia inaongelea 5G kuna lot of changes the same to football mpira umebadilika sana siku hiz usipokuwa na comptative player utasubiri sana...Nick butt na paul scholes walitokea wapi?
Huyo dogo anajua sawa na wala simpush out ila still anahitaj mda kuwa kama kina Scholes sasa je u going to depend on mcTom and matic to be a champion replacement wa hao viungo wako wapi, Herrera? I dnt think so sawa na mtu aniaminishe msimu ujao we are going to compt na kuwa washindani wa kweli na zile full back zetu young na Captain namuheshimu sana captain kafanya makubwa pale OT ila kwa msimu ujao anahitaj mbadala wake timu inahitaji changes kuanzia beki na katikati