Tetesi
Liverpool wanaongoza mbio za kumsaini kiungo wa kati wa Nice Jeam Michael Seri huku Arsenal, Manchester United na Tottenham wakimmezea mate mchezaji huyo wa miaka 26.
Ajenti wa Paul Pogba Mino Raiola anasena hakuna tofauti kati ka Pogba 24, na meneja wa Manchester United Jose Mourinho. (Rai Sport via Mail)
Manchester United watampa kipa David de Gea, 27, mkataba mpya wa paunia 350,000 kwa wiki kumzuia kujiunga na Real Madrid. (Daily Star on Sunday)
Manchester City watamenyana na mahasimu Manchester United na Tottenham kumsainia beki wa Fulham kijana wa miaka 17 Ryan Sessegnon. (Sunday
Zlatan Ibrahimovic anasema kuwa kusaini kenye ligi kubwa nchini Marekani iko akilini mwake. Mchezaji huyo wa miaka 36, anatarajia kundoka Manchester United mwisho wa msimu. (Sky Sports)