Manchester United (Red Devils) | Special Thread



😀 😀 😀 😀 Spurs nuksi kweli!! Kwa makusudi bila ya Kulazimishwa au Kushawishiwa na Mtu Kaamua Kukivunja Kirekodi Uchwara... 😀 😀 😀
 
Sahihi
 


Miaka Yote Niliyofuatilia Soka Sikuwahi Kuwaona Washabiki Wa Man United Wakililia Matukio Uwanjani...

Najiridhisha Kuwa Wewe si Mshabiki Wa Man United, Bali Ni Mshabiki Wa [HASHTAG]#Kulialia[/HASHTAG] UnitedUnited.
 
Ukijaribu kuangalia kwa makini game ya Spurs Juzi, utagundua kwa haraka Sana wachezaji wa Utd hawakucheza to their fullest abilities either kwa kupenda au kutopenda na hakukua na ile fighting spirit kwa badge ya timu.

Spurs walikua wakipoteza Mpira wanakabia juu haraka na kwa ufanisi mkubwa, which in turn Utd wakawa wanashindwa ku plan for attacking game quickly. Hali ilikua tofauti na Utd wakipoteza Mpira, instead ya kukaba instantly huko huko juu wao walikua wanarudi nyuma na kuacha spaces kwa players wa Spurs ku plan their attacks very freely kwa sababu hakuna bugudha ya kukabwa na opponents wao.

Hiki kitu kiliigharimu time Sana, Sijui ndio tactic ya kocha ama Nini, ila kwa muono wangu unapocheza na timu inayo build up attacks very fast hutakiwi kuacha wawe free kama Utd ilivyo fanya Juzi.

Otherwise, Sanchez Is a bargain..

GGMU..
 
What a wonderful analysis
 


In front of Dele Alli and Eriksen Pogba is Vulnerable! 😀 😀 😀 😀
Mkuu acha chuki za kijinga...PP anaongelea rekodi ya mechi 35 bila kufungwa wewe unaongelea Dele na Ericsen ambao hawajafikisha rekodi ya kutofungwa mechi 4.!!!!
 
Mkuu acha chuki za kijinga...PP anaongelea rekodi ya mechi 35 bila kufungwa wewe unaongelea Dele na Ericsen ambao hawajafikisha rekodi ya kutofungwa mechi 4.!!!!


In fact You are the real invincible
 
Baadhi ya wachambuzi wana maoni kama haya, na Mimi huwa sipo nao mbali na ndio maana kuna ndugu yangu humu tuliwahi kusuguana sana juu ya maoni ya Paul Scholes alipoongea kwa uchungu sana kuhusu commitment ya Pogba kwa timu hasa ukizingatia Pogba ndio roho ya timu akizingua na timu kuna uwezekano Mkubwa Wa kuzingua. Mourinho badala ya kusimamia ukweli akaamua kuwalaghai watu kwamba Scholes anamuonea wivu Pogba kwa sababu ya hela zake anazopata. Na kwa bahati nzuri kwake akapata wafuasi katika hilo hata humu JF
 

Attachments

  • Screenshot_20180203-092316.png
    34.8 KB · Views: 43
Anaweka midfield matic, lingard na pogba wakati anajua kabisa lingard na pogba wanapenda kupanda juu kushambulia na kuacha gap kubwa hapa katikati kwa adui kupita kirahisi. Kule mbele tayari tuna visu vikali, ingetakiwa matic na herrera wakae katikati kuwapa support mabeki na pogba ndiye awe midfielder huru kupanda mbele kuwasaidia martial, lukaku na sanchez.
Sema mourinho sometimes simwelewagi mipango yake.
 

Nategemea mechi ya leo Herrera atanza na Matic, Pogba akicheza 10.
 
View attachment 688865
Mourinho hakupaswa kumuacha Eric dier alitakiwa kumsajili huyu kipindi wanataka paund 48 kiungo cha ukabaji na kuwalinda mabeki anavitendea haki sana pogba na matic wangekuwa huru sana.

Namkubali sana huyu jamaa.
Matic angekuwaje huru sasa mkuu? Dier na Matic wote wanacheza position moja, wangekuwepo wote timu moja labda mmoja akae bench. Role yao wote wawili ni kama ilivyo kwa kante, fernandinho, casemiro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…