Mbona mimi nimeona tumecheza vizuri sana mkuu ila tatizo wapinzani wame-defence sana hasa kipindi cha kwanza ila ni moja kati ya mechi bora kabisa hii ya leo mpira umechezwa
[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
Ni advantage kubwa weekend ijayo tukienda mapumziko kwa ajili ya mechi za kimataifa tukiwa juu pale!wachezaji wapate ku relax na kupunguza presha!tukirudi tena ni nguvu mpya