Tuseme ule ukweli mi naona man u hii sio ile ya mwaka jana! Mou kaifanyia marekebisho makubwa mno, pogba leo kafanya kazi kubwa sana! Huyu matic hata psg wakitoa vihela vyao vyote benki hatuwapi! Matic ni dhahabu! Ligi ndio imeanza vijana waendelee ivi ivi, WH ni wagumu na wanawachezaji wazuri sana sio mbaya kwa hilo goli moja!