Henrikh Mkhitaryan na Michael Carrick ni wachezaji ambao wanaifanya United ibadilike recently. Dhidi ya Palace Mikhi hatakuwepo...na Carrick sidhani kama ana uwezo wa kucheza game 2 tough ndani ya siku 3 kwa kiwango kizuri. Ndio maana napata sana mashaka na hii game ya jumatano
Ukuta huu ulikuwa bora miongoni mwa kuta zetu bora umenifanya ni wakumbuke pallister na stive Bruce bila kumsahau ronny johnsen siku zilikuwa nzuri hizi.
Henrikh Mkhitaryan na Michael Carrick ni wachezaji ambao wanaifanya United ibadilike recently. Dhidi ya Palace Mikhi hatakuwepo...na Carrick sidhani kama ana uwezo wa kucheza game 2 tough ndani ya siku 3 kwa kiwango kizuri. Ndio maana napata sana mashaka na hii game ya jumatano
nimsifu Mourhino kwa kutengeneza Ukuta mgumu,huyu Rojo naye anasifa za kuwa beki Katili Kane jana nusu aombe msamaha kwa Rojo,Beki,Viungo kwa sasa sio tatizo tuongeze nguvu tu kwa sasa kwenye forward.
nimsifu Mourhino kwa kutengeneza Ukuta mgumu,huyu Rojo naye anasifa za kuwa beki Katili Kane jana nusu aombe msamaha kwa Rojo,Beki,Viungo kwa sasa sio tatizo tuongeze nguvu tu kwa sasa kwenye forward.