Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Umenena vyema mkuu. Kwasasa ni Mourinho tu,hakuna mwingine.
 
Watu wanataka giggs apewe timu eti kisa gurdiola alifanikiwa barca, wamesahau pep alivokua anaachiwa timu na rijkaard timu ilikua imejitosheleza, wanakikosi full kilichokua kimefika nusu fainali kwenye CL, kikosi kina Eto'o, henry, messi, xavi, iniesta, akina puyol, toure, sasa utashindwaje kufanya vizuri? Leo hii sisi tuna akina fellain, mata, lingard na vitoto vingi then unataka giggs apewe timu, are we serious?

Giggs anatakiwa apate kwanza experience sehemu nyingine, aive ndio tumuamini kumpa timu, na kama itawezekana apewe U21 kwanza kama ilivokua kwa gurdiola na zizzou,
 

Afadhali ya Guardiola alikuwa anafundisha Barca B kipindi kile. Tena aliifundisha mda mrefu then ndio akakabidhiwa timu A. Hata Zidane pia.

Sasa leo hii Giggs hata hajawahi kuachiwa timu kwa miezi mi3 ndio wanataka agewe United.

Hebu tujifunze walau kupitia Gary Neville basi .
 
domo la Mourinho nalipendaga sana!!na lije tu old trafford!!!Mourinho hakai miaka miwili bila kuchukua ubingwa wa nchi!!tunahitaji hilo kabla hatujawa liverpool!!Mourinho mbishi hakubali kushindwa kirahisi tunahitaji hilo kabla hatujawa arsenal,Mourinho ni mpambanaji na mshindi!!!halafu dunia nzima mnamsingizia Mourinho kubaki basi,Mourinho sio mpaki basi,amekuwa akipaki basi dhidi ya timu 2 tu tena zikiwa chini ya Pep,Barca na bayern,mlitaka afanyeje ikiwa hizo timu zinakaa na mpira muda wote na mpira upo mmoja tu uwanjani na wanakuwa wanao wao???mimi badala ya kumuita mpaki basi namuita mkali wa kulinda lango!!!na kwenye defence jamaa kabarikiwa tactics!Na aje,namkaribisha kwa mikono miwili
 
Nukupa like zaidi ya 100. Umenena ukweli mtupu
 
Habari Za humu? Kwani Mou keshapewa mikoba? Nijuzeni nipo Dunia ya 5 sielewi kinaendelea nini!!!
 

Twende mbele turudi nyuma sasa hivi tunahitaji kocha ambaye atarudisha heshima ya club ...
Mtu Kama Giggs itachukua tena miaka 3.. Mimi aje tu Huyo domo Kaya Mourinho.
 
Man Utd XI: De Gea, Darmian, Smalling, Blind, Borthwick-Jackson, Schneiderlin, Carrick, Lingard, Mata, Martial, Rooney
Subs: Romero, Love, Weir, Pereira, Herrera, Memphis, Keane.


Sunderland XI: Mannone, Yedlin, O’Shea, Kone, van Aanholt, Kirchhoff, Cattermole, M’Vila, Khazri, N’Doye, Defoe.
Substitutes: Brown, Rodwell, Borini, Matthews, Pickford, Toivonen, Honeyman.
 
Ushindi upo hapo mkubwa tu Leo.
#GGMU
 
Wadau mimi ni Manchester United damu... Sio mgeni umu ila nataka mnisaidie maana nilibet. Mbet hela wameichukua ila wanasema nimekosea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…