Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jamani wewe chiko18 uponyaji ni haki ya mtu, apone haraka tu,Ila LVG asimkumbuke tena katika ufalme wake mpaka ligi iishe.

We haumjui huyu Mzee, yan cku atakayorud anaweza mpanga full tyme, nima best hawa yan, mung anisamehe2 ila apone ligi ikiisha2, bila kusahau ameeen
 
Last edited by a moderator:
Hahaha injuries na RVP ni mtu na kivuli juani. Kacheza one good season afu karudi alipokuwa miaka 6 au 7 aliyokuwa kwetu, £24 Million in the bank, good money.

Correction : Hajaumia ila atakosa hiyo mechi kwa sababu hii

Manchester derby comes too soon for van Persie

Robin van Persie will not be rushed back into action in Sunday's Manchester derby despite returning to training this week.

£24 million?? unashangaa? kacheza miaka 6-7 kwenu Hajanyanyua kombe, kaja threatre of dreams msimu wa kwanza tuu kanyanyua kombe, sasa nani kapata hasara na nani kanufaika?

Mkuu plz jumapili ujitahidi uwepo hapa usikimbie lol
 
LOL Mungu atawasaidia Man city sio nyinyi. Mmesha poteza points, kabla mechi haijachezwa. Jpili ni kukamilisha kilichoandikwa.

Uzuri ni kwamba dua la Arsenal halimpati MANU hili hata BAK anajua we muulize tu......
 
Last edited by a moderator:
We haumjui huyu Mzee, yan cku atakayorud anaweza mpanga full tyme, nima best hawa yan, mung anisamehe2 ila apone ligi ikiisha2, bila kusahau ameeen

Mhh!! Nashindwa kuitikia Ameeen ,ugonjwa mbaya sana.....Giggs yupo awezi kukubali RVP apangwe,Lol
 

Kweli chenji zetu zisharudi siku nyiingiiiii, pia katutendea mengi mazuri tu, siyo mbaya kiivyo Bali siyo wakati muafaka kwake kucheza.
 

Tatizo miaka 6-7 alicheza mpira wodini. Kuja kwenu ilikuwa ni tamaa sasa hivi atakuwa anajuta sababu mwakani atakimbilia Uarabuni kama wachezaji wa Bongo. Hakuna cha faida mliyopata, kombe mngelipata bila yeye kuwepo. Fergie, Gill & Webb enterprise isingekubali ipoteze faida msimu ule. Muda si mrefu mtakuwa Nottingham Forest number 2.
 
Nafanya kazi ya ulinzi nililala nikaamka hii ndo mida ya wezi inabidi niwe macho kweli kweli,lol


Heeee kweli aisee....mida hii wanajua kua watu wamelala fofo. Ngoja nikupigishe story huku ukiwa unalinda.

City wanakuja kukufunga j2 na uzuri michezo ya j2 tunaanzia Wa kwetu then tunakuja wenu!
 
Heeee kweli aisee....mida hii wanajua kua watu wamelala fofo. Ngoja nikupigishe story huku ukiwa unalinda.

City wanakuja kukufunga j2 na uzuri michezo ya j2 tunaanzia Wa kwetu then tunakuja wenu!

Thubutuuuuuuuu!!!! Jumapil ni siku njema sana kwangu j3 na jmos ndo huwa sina uhakika nazo, jpili uje tu nina popcorn na kahawa kibao wakati wagen wakichek mech.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…