Bora kupoteza leo kocha ajipange draw za kuungaunga zinampa kiburi kocha kufanya majaribio ya wachezaji kila mechi. Timu lazima iwe na first eleven inayoeleweka sio kila mechi kubadilisha mabeki tu mwanzo wa msimu hadi sasa msimu unakaribia kuisha kocha hajawa na combination ya mabeki wa nyuma inayoeleweka