vijana wana morali ya hali ya juu...tukimfunga soton tunachukua nafasi ya tatu tunaanza kutafuta ya pili...
Mdogomdogo.
Dah! chama sasa linaanza kuturudisha enzi za kuandaa juice na popcorn kabla ya kuangalia game.
Moyes hutasahaulika kwa kutufanya tiamajitiamaji mpaka watu tukakonda kama washabiki wa Arse8.
Mourinho kila akiitazama Manchester United kwa jicho la tatu anakosa amani kabisa yaani anaigopa UNITED kuliko CITY iliyopo nyuma yake...Progress ya UNITED ndio inayowanyima raha jamaa waliotangulia
Endeleeni kuishi kwa matumaini lakini habari ya kuchukua ubingwa wa EPL sahau.
Habari njema kwetu man utd fans new castle ndio kamtuliza, kamkata makali chelsea atulie kidogo
The Invincibles. Hii chomeleeni kwenye ubongo zenu, haitavunjwa na yeyote!
Kwa...progress....ya....Man u....jinsi....inavyoonekana....inakufanya...hata...wewe....usijiamini....kwa....kauli....yako.....hiyo...Mmeshinda mechi mbili tatu, mshaanza kuota mchana kweupeeee. Ngoja tusubiri, ila mnajua kabisa pale St. Mary sio pa mchezo!
Sababu mmeshinda vimechi kadhaa, hongereni, ila bado mtasota. Timu bado mbovu, magarasa na glass-legs kibao.
Kasema lini hili au unazidisha mahaba! Anaiogopa Southampton na West Ham kuliko Manutd. Hivi kwanza rekodi yenu ya away msimu huu unaijua ilivyo? Na Mancity ndo vidume wa jiji la Manchester kwa sasa.
Mmeshinda mechi mbili tatu, mshaanza kuota mchana kweupeeee. Ngoja tusubiri, ila mnajua kabisa pale St. Mary sio pa mchezo!
Kasema lini hili au unazidisha mahaba! Anaiogopa Southampton na West Ham kuliko Manutd. Hivi kwanza rekodi yenu ya away msimu huu unaijua ilivyo? Na Mancity ndo vidume wa jiji la Manchester kwa sasa.
Leo Man U mtupe raha,kila la heri kama kawaida mwendo mdundo.
Mtanisamehe ila leo nawaombea mabaya...
Mtanisamehe ila leo nawaombea mabaya...