Nafikiri jamaa anaongelea suala la mpira kuwa nje kabla krosi ya goli haijapigwa. Ingekuwa United imefunga baada ya mpira kuwa nje #WakaangaSumu wangemwaga shombo humu balaa...
Nafikiri jamaa anaongelea suala la mpira kuwa nje kabla krosi ya goli haijapigwa. Ingekuwa United imefunga baada ya mpira kuwa nje #WakaangaSumu wangemwaga shombo humu balaa...
Shukrani Mkuu ushindi wa jana ulikuwa mnono sana. Khe Khe Khe Khe dua la Bulldog kamwe halimpati binadamu utaona tunaendelea kutesa tu na nyie #wasagasumu na #mburukenge kuendelea kununa.
Shukrani Mkuu ushindi wa jana ulikuwa mnono sana. Khe Khe Khe Khe dua la Bulldog kamwe halimpati binadamu utaona tunaendelea kutesa tu na nyie #wasagasumu na #mburukenge kuendelea kununa.