Siamini kinachoendelea hapa, Manchester United na Burnley labda wamebadilishana jezi kutuzuga watazamaji. Waliovaa jezi nyeupe ndio Burnley na waliovaa damu ya mzee ndio Manchester United
Mkuu wangu nikiangalia nadhani pia Fletcher kashindwa kuunganisha timu vyema labda back line yetu inamchanganya sana lakini huyu dogo Blackett anajitahidi sana kama atapewa nafasi zaidi anaonekana atakuja kuwa mchezaji wa kutumainiwa England & Man utd.
Umeelezea vyema. Ila pia credit kwa hii timu. Inacheza kama ipo premier league siku nyingi. Wanajiamini sana...na hicho kinawasaidia la sivo wangekuwa wamefungwa!
Khe khe khe khe Mkuu Ngongo unarudi lini maskani yetu Gunners!? Usiogope Mkuu tutakupokea kwa mikono miwili. Huna sababu yoyote ya kuendelea kupata hizi stress kila wiki Mkuu. Karibu sana nyumbani.
Mkuu wangu nikiangalia nadhani pia Fletcher kashindwa kuunganisha timu vyema labda back line yetu inamchanganya sana lakini huyu dogo Blackett anajitahidi sana kama atapewa nafasi zaidi anaonekana atakuja kuwa mchezaji wa kutumainiwa England & Man utd.
kweli unachoongea maana hii formation ya 3-5-2 lazima hao mabeki wawili nyuma wawe na mapafu ya mbwa. ila tatizo wanapoteza mipira kirahisi sana na siyo muda mrefu watajuta.
Siamini kinachoendelea hapa, Manchester United na Burnley labda wamebadilishana jezi kutuzingua watazamaji. Waliovaa jezi nyeupe ndio Burnley na waliovaa damu ya mzee ndio Manchester United