Manchester United (Red Devils) | Special Thread

naona nyuma tumepwaya lkn Mungu yupo vijana wana uhai sana tu

kweli unachoongea maana hii formation ya 3-5-2 lazima hao mabeki wawili nyuma wawe na mapafu ya mbwa. ila tatizo wanapoteza mipira kirahisi sana na siyo muda mrefu watajuta.
 
31

Burnley 0 - 0 Manchester United

****
Sitaki kuamini huu uwanja unateleza kiasi hicho
 
wakati man imesajili Di mari kwa gharama ya £59.7m, Burnely wametumia £45m tu kusajili wachezaji katika kipindi cha miaka 132
 
Itabidi msubiri hadi dirisha la December/January ili kuongeza nguvu ya timu.

Kesho dirisha linafungwa, kati ya vitu nitakavyolaumu ni kukosa kusajili holding mid wa uhakika
 
kweli unachoongea maana hii formation ya 3-5-2 lazima hao mabeki wawili nyuma wawe na mapafu ya mbwa. ila tatizo wanapoteza mipira kirahisi sana na siyo muda mrefu watajuta.

Mkuu flekcha hamna k2
 
wakati man imesajili Di mari kwa gharama ya £59.7m, Burnely wametumia £45m tu kusajili wachezaji katika kipindi cha miaka 132

ole wao man u leo waprove pesa sio kila kitu katika soka, ila bi maria yuko poa ingawa mwili wake utazani anakunywa maji na chumvi kama lunch
 
ole wao man u leo waprove pesa sio kila kitu katika soka, ila bi maria yuko poa ingawa mwili wake utazani anakunywa maji na chumvi kama lunch

Di Maria na Mata...something still lacking. Nashindwa kuelezea vyema...

Halafu kuna defence...
 
Reactions: BAK
sitaki kuamini van persie kaisha hivi ........!!!
so sad
 
Mkuu Mentor mpaka sana tatizo lipo back hawawezi kukaa na mpira wala kutoa accurate pass nadhani Rojo na Blind wakika pale story itakuwa tofauti.Evance confidence imeondoka kabisa kitimu kidogo kama hiki anababaika siku akikutana na foward za uhakika itakuwaje.

Di Maria na Mata...something still lacking. Nashindwa kuelezea vyema...

Halafu kuna defence...
 
Last edited by a moderator:

Umeelezea vyema. Ila pia credit kwa hii timu. Inacheza kama ipo premier league siku nyingi. Wanajiamini sana...na hicho kinawasaidia la sivo wangekuwa wamefungwa!
 
Last edited by a moderator:
Di who? lol hahahahaha hizi dakika 45 zinazokuja MANU watachacharika sana ili wasikose points tatu za leo.

Di Maria na Mata...something still lacking. Nashindwa kuelezea vyema...

Halafu kuna defence...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…