Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu kweli unataka hao wachezaji waondolewe msimu huu? unajua zimebaki siku 9 dirisha la usajili lifungwe

Kwa hizo siku 9 unategemea Utd watapata quality players wa kuwa replace hao wachezaji wote?




Tatizo la Utd lipo hapo na hiyo ndio dawa yake.

Ed woodward akitaka kuwe na peace na harmony awalete vidal na di maria
 
Ed woodward akitaka kuwe na peace na harmony awalete vidal na di maria

Yaani hata mi nashndwa kuelewa,madrid hatamtaki di maria di maria nae anataka kuondoka sijui kwa nini lvg hapeleki ofer tukamchua yule atakuwa ni very useful player kwetu hasa kwa kukiangalia kikosi ambacho tunacho kwa sasa
 
Yaani hata mi nashndwa kuelewa,madrid hatamtaki di maria di maria nae anataka kuondoka sijui kwa nini lvg hapeleki ofer tukamchua yule atakuwa ni very useful player kwetu hasa kwa kukiangalia kikosi ambacho tunacho kwa sasa
Di Maria ni mchezaji mzuri lakini hata akija tatizo letu la msingi ni kiungo mkabaji litakuwa bado game ya kesho Carick,Herrera,Fellaini wote ni majeruhi so viungo waliopo ni Fletcher na Cleverley.Nafikiri tungeweza kutafuta option ya kiungo kama De Jong,Luiz Gustavo au Khedira.Tunapaswa kuanza ligi vizuri ili tuweze kupata wachezaji wengine January
 

Yani tungempata De Jong angetusaidia sana kuziba pengo la kiungo mkabaji, pia tunahitaji Beki mwingine wa kati mwenye uzoefu. Kupoteza game mwanzoni kutashusha kujiamini kwa timu na kutazifanya timu nyingine hata ndogo kutukamia kwa kujua kuwa tunafungika kirahisi
 
Sijui kwanini mpaka leo sipendi Di Maria atue Man Utd naona uwezekano iwapo atachukuliwa anaweza kumzibia nafasi Januzaj asipate namba mara kwa mara.

Tatizo kuu la Man mpaka sasa ni beki na kiungo mkabaji.
 
Yaani hata mi nashndwa kuelewa,madrid hatamtaki di maria di maria nae anataka kuondoka sijui kwa nini lvg hapeleki ofer tukamchua yule atakuwa ni very useful player kwetu hasa kwa kukiangalia kikosi ambacho tunacho kwa sasa

LVG anatoa suggestion, Ed Woodward anaenda kusajili.

LVG anawataka Vidal na Di maria
 
Reactions: Nzi
Sijui kwanini mpaka leo sipendi Di Maria atue Man Utd naona uwezekano iwapo atachukuliwa anaweza kumzibia nafasi Januzaj asipate namba mara kwa mara.

Tatizo kuu la Man mpaka sasa ni beki na kiungo mkabaji.

Amelete vidal then
 
Sijui kwanini mpaka leo sipendi Di Maria atue Man Utd naona uwezekano iwapo atachukuliwa anaweza kumzibia nafasi Januzaj asipate namba mara kwa mara.

Tatizo kuu la Man mpaka sasa ni beki na kiungo mkabaji.
Ila tukiwa na wachezaji wengi wazuri kwenye kikosi ni jambo zuri hata akiumia mmoja hatukosi option b



kama hamna dalili za kumchukua kiungo mkabaji si ni vyema tukamchukua hata huyo wing player ambae yuko available kwa sasa maana nafasi hz hazipatikani mara zote!! Wachezaji kama hawa huwa on high demand always.
 
Reactions: Nzi
LVG anatoa suggestion, Ed Woodward anaenda kusajili.

LVG anawataka Vidal na Di maria

Lvg alisema anamsubiria strooman apone na kumuangalia kiwango chake with an option of buying him katika usajili wa dirisha dogo
 
Mkuu wangu nadhani hilo si jambo jema kwasababu tujisubiria hadi dirisha dogo la usajili ipo hatari moja kubwa ambayo ni kufanya vibaya kipindi hiki hadi hilo dirisha dogo sasa utakuta hata akisajiliwa inakuw haina maana sana.

Lvg alisema anamsubiria strooman apone na kumuangalia kiwango chake with an option of buying him katika usajili wa dirisha dogo
 
[h=1]Ancelotti: We didn't need Di Maria[/h]

The Italian says the Argentine was left out of the Supercopa defeat at the hands of Atletico Madrid due to a "technical decision"

[h=4]Bet[/h] = RMA £10.7 Draw £120 COR £260


Real Madrid boss Carlo Ancelotti insists that his side did not miss Angel Di Maria in the Supercopa loss to Atletico Madrid on Friday.

The Argentine was left out of the European champions' matchday squad for the trip to the Vicente Calderon, where Diego Simeone's side won 1-0 to seal a 2-1 aggregate victory.

However, the former Chelsea and AC Milan coach believes that the ex-Benfica winger would not have been able to make a difference.

"It was a technical decision that we did not need Di Maria," he told reporters after the game.

"In the second half we lost control of the game. We needed more possession like in the first half of the game. Afterwards, we gave more opportunities to Atletico.

"We haven't spoken about winning six titles. We've spoken about being the best candidate for titles, but not about winning six.

"We didn't play well this game, but it's better to lose this match than [the Champions League final] in Lisbon."

Ancelotti: We didn't need Di Maria - Goal.com
 

Man U mbovu ndio uibuka na kufanya maajabu, Miaka yote Manchester haikuwahi kuwa na mwanzo mzr ukiondoa nyakati za akina Andy cole, after all watz tunaongea sana,
 
Mkuu wangu nadhani hilo si jambo jema kwasababu tujisubiria hadi dirisha dogo la usajili ipo hatari moja kubwa ambayo ni kufanya vibaya kipindi hiki hadi hilo dirisha dogo sasa utakuta hata akisajiliwa inakuw haina maana sana.

Ngongo umerudi unaona soni na jina ulilobadili, muulize Bulldog yamemshinda chacha akitoka hapo chijui ataingia na gea gani. Khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Chacha Sunderland mtatoka leo au barua ya kumfukuza devil ndiyo itatoka?
 
Pamoja na matatizo yetu yote Mr Bean hajawahi kutufunga

Wacha fujo wewe nakualika basi njoo Emirates uangalie kombe hili hapa chini. Ebo!






Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Wacha fujo wewe nakualika basi njoo Emirates uangalie kombe hili hapa chini. Ebo!






Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Onesha Champions League Trophy looser
 
Cristiano told di María United is the club to go. Mendes is returning to Europe from Singapur to finalise deal. All very very close.
 
The SkySports Spanish pundits currently on air now are BREAKING NEWS that Angel Di Maria has chosen Manchester United.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…