CCM Music
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 1,036
- 1,782
Naam.
Kwako Haji Manara.
Nipo CCM kitambo sana. Naijua ndani nje hadi nakinai.
CCM yetu ya sasa inawahitaji watu kama wewe. Njoo usaidie kupambana na wapinzani.
Tena, ikiwezekana upewe kile cheo cha Shaka, mbona CCM patanoga maana sio kwa shombo hizo.
Tahadhari:
Chadema ina wafuasi wa ki Imani zaidi kuliko maslahi. Wafuasi ambao wapo tayari wakati unaofaa na usiofaa. Wafuasi wenye roho ngumu.
Tofauti na viongozi wao (baadhi) wafuasi wao wanaamini maisha katika nchi inayotawaliwa na Chadema na si vinginevyo.
Wanaamini zaidi katika haki, amani na upendo hasa uzalendo wa Taifa lao Tanzania. NI wafuasi waliochoshwa na madhila ya CCM kwa msaada wa Jeshi la Polisi.
Hawana maslahi na chama hivyo hawana cha kupoteza. Ukitaka kuwaelewa zaidi tafuta interview za Lazaro Nyalandu akiwa Clouds.
Ki ufupi wapo hivyo.
Nakuambia haya ili uelewe vema aina ya wapinzani na uweze kuangalia propaganda gani utapiga nao.
CCM mbele kwa mbele. Kazi iendelee.
Jongea huku CCM chukua cheo cha Shaka. Piga kazi. We ni brand kubwa kwa sasa!
CCM Music.
Kwako Haji Manara.
Nipo CCM kitambo sana. Naijua ndani nje hadi nakinai.
CCM yetu ya sasa inawahitaji watu kama wewe. Njoo usaidie kupambana na wapinzani.
Tena, ikiwezekana upewe kile cheo cha Shaka, mbona CCM patanoga maana sio kwa shombo hizo.
Tahadhari:
Chadema ina wafuasi wa ki Imani zaidi kuliko maslahi. Wafuasi ambao wapo tayari wakati unaofaa na usiofaa. Wafuasi wenye roho ngumu.
Tofauti na viongozi wao (baadhi) wafuasi wao wanaamini maisha katika nchi inayotawaliwa na Chadema na si vinginevyo.
Wanaamini zaidi katika haki, amani na upendo hasa uzalendo wa Taifa lao Tanzania. NI wafuasi waliochoshwa na madhila ya CCM kwa msaada wa Jeshi la Polisi.
Hawana maslahi na chama hivyo hawana cha kupoteza. Ukitaka kuwaelewa zaidi tafuta interview za Lazaro Nyalandu akiwa Clouds.
Ki ufupi wapo hivyo.
Nakuambia haya ili uelewe vema aina ya wapinzani na uweze kuangalia propaganda gani utapiga nao.
CCM mbele kwa mbele. Kazi iendelee.
Jongea huku CCM chukua cheo cha Shaka. Piga kazi. We ni brand kubwa kwa sasa!
CCM Music.