Manara njoo CCM, huku panakufaa na hutajutia

CCM Music

JF-Expert Member
Dec 5, 2018
1,036
1,782
Naam.

Kwako Haji Manara.

Nipo CCM kitambo sana. Naijua ndani nje hadi nakinai.

CCM yetu ya sasa inawahitaji watu kama wewe. Njoo usaidie kupambana na wapinzani.

Tena, ikiwezekana upewe kile cheo cha Shaka, mbona CCM patanoga maana sio kwa shombo hizo.

Tahadhari:
Chadema ina wafuasi wa ki Imani zaidi kuliko maslahi. Wafuasi ambao wapo tayari wakati unaofaa na usiofaa. Wafuasi wenye roho ngumu.

Tofauti na viongozi wao (baadhi) wafuasi wao wanaamini maisha katika nchi inayotawaliwa na Chadema na si vinginevyo.

Wanaamini zaidi katika haki, amani na upendo hasa uzalendo wa Taifa lao Tanzania. NI wafuasi waliochoshwa na madhila ya CCM kwa msaada wa Jeshi la Polisi.

Hawana maslahi na chama hivyo hawana cha kupoteza. Ukitaka kuwaelewa zaidi tafuta interview za Lazaro Nyalandu akiwa Clouds.
Ki ufupi wapo hivyo.

Nakuambia haya ili uelewe vema aina ya wapinzani na uweze kuangalia propaganda gani utapiga nao.

CCM mbele kwa mbele. Kazi iendelee.

Jongea huku CCM chukua cheo cha Shaka. Piga kazi. We ni brand kubwa kwa sasa!

CCM Music.
 
Sikumbuki. Hebu nielezee kidogo. Ingawa CCM hakunaga ubadhirifu, inategemea umepigajepigaje
Alikuwa katibu mwenezi wa ccm dsm alikuwa anakodi magari ya watu haswa gx 100 yeye na matapeli wenzake wa lumumba pale wanafanya manuva wanatengeneza kadi wanayauza akaenda kula bata dubai, kikwete alimuhurumia akapangua kesi ile ndipo baadaye simba wakampa maisha akatoka uswazi akahamia mikocheni mwishowe juzi akawachamba na simba pia
 
Alikuwa katibu mwenezi wa ccm dsm alikuwa anakodi magari ya watu haswa gx 100 yeye na matapeli wenzake wa lumumba pale wanafanya manuva wanatengeneza kadi wanayauza akaenda kula bata dubai, kikwete alimuhurumia akapangua kesi ile ndipo baadaye simba wakampa maisha akatoka uswazi akahamia mikocheni mwishowe juzi akawachamba na simba pia
Kunguru hafugiki
 
Naam.

Kwako Haji Manara.

Nipo CCM kitambo sana. Naijua ndani nje hadi nakinai.

CCM yetu ya sasa inawahitaji watu kama wewe. Njoo usaidie kupambana na wapinzani.

Tena, ikiwezekana upewe kile cheo cha Shaka, mbona CCM patanoga maana sio kwa shombo hizo.

Tahadhari:
Chadema ina wafuasi wa ki Imani zaidi kuliko maslahi. Wafuasi ambao wapo tayari wakati unaofaa na usiofaa. Wafuasi wenye roho ngumu.

Tofauti na viongozi wao (baadhi) wafuasi wao wanaamini maisha katika nchi inayotawaliwa na Chadema na si vinginevyo.

Wanaamini zaidi katika haki, amani na upendo hasa uzalendo wa Taifa lao Tanzania. NI wafuasi waliochoshwa na madhila ya CCM kwa msaada wa Jeshi la Polisi.

Hawana maslahi na chama hivyo hawana cha kupoteza. Ukitaka kuwaelewa zaidi tafuta interview za Lazaro Nyalandu akiwa Clouds.
Ki ufupi wapo hivyo.

Nakuambia haya ili uelewe vema aina ya wapinzani na uweze kuangalia propaganda gani utapiga nao.

CCM mbele kwa mbele. Kazi iendelee.

Jongea huku CCM chukua cheo cha Shaka. Piga kazi. We ni brand kubwa kwa sasa!

CCM Music.
Huyo alikuwepo huko na aliacha vimeo kibao.
 
Aje mara ngapi ?
20210728_134257.jpg

IMG_20210728_134516.jpg
 
Naam.

Kwako Haji Manara.

Nipo CCM kitambo sana. Naijua ndani nje hadi nakinai.

CCM yetu ya sasa inawahitaji watu kama wewe. Njoo usaidie kupambana na wapinzani.

Tena, ikiwezekana upewe kile cheo cha Shaka, mbona CCM patanoga maana sio kwa shombo hizo.

Tahadhari:
Chadema ina wafuasi wa ki Imani zaidi kuliko maslahi. Wafuasi ambao wapo tayari wakati unaofaa na usiofaa. Wafuasi wenye roho ngumu.

Tofauti na viongozi wao (baadhi) wafuasi wao wanaamini maisha katika nchi inayotawaliwa na Chadema na si vinginevyo.

Wanaamini zaidi katika haki, amani na upendo hasa uzalendo wa Taifa lao Tanzania. NI wafuasi waliochoshwa na madhila ya CCM kwa msaada wa Jeshi la Polisi.

Hawana maslahi na chama hivyo hawana cha kupoteza. Ukitaka kuwaelewa zaidi tafuta interview za Lazaro Nyalandu akiwa Clouds.
Ki ufupi wapo hivyo.

Nakuambia haya ili uelewe vema aina ya wapinzani na uweze kuangalia propaganda gani utapiga nao.

CCM mbele kwa mbele. Kazi iendelee.

Jongea huku CCM chukua cheo cha Shaka. Piga kazi. We ni brand kubwa kwa sasa!

CCM Music.
Alishaiba hela ccm wakamfunga,hawezi kurudi tena

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom