Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,492
- 188,640
Mkuu hamna nilichosahau mkuu.Kunguru fc umesahau nini humu
Mkuu hamna nilichosahau mkuu.Kunguru fc umesahau nini humu
Laana haijawahi kumuacha Mtu Salama.Manara atapata tabu sana
Hata ile ya siku ya show ya Mama J ali fake ile ajali tu. Ila huyu kiumbe kaumbwa bila mshipa wa aibuKama ni ajali ya kweli iwe na picha, vinginevyo tukutane insta atueleze vizuri yule mganga wao wa Bagamoyo safari hii hawakumlipa pesa yake yote, au amesafiri.