Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,447
- 21,160
Guys, nimemiss Keki ya vitunguu saumu nishushie na Juice ya Pamba.
Juice ya pamba inapendeza na Sambusa za UbwabwaGuys, nimemiss Keki ya vitunguu saumu nishushie na Juice ya Pamba.
Acha hizo banaIla sambusa za dagaa ushaona?
Hivi nj vinini? Km vitoto vya kitimotoKaribun wanduguView attachment 1639909
Hizi bhangi hizi!1. Menya machungwa
2. Yachemshe kidogo dk 5
3. Tia kwa spoke
4. Weka kwa oven
5. Nyunyiza asali kidogo
6. Serve na juice ya mbirimbi
Nakuona Mr. Gru mwenyewe 🙌🏼Mbona JF kipindi hiki kumejaa watu wenye pumba sana. Au mitano tena imewapanda kichwani
Keki ya mchicha nilishawahi kusikia... Kweli ipo.Na Keki ya mchicha
Sema balitazar brattNakuona Mr. Gru mwenyewe 🙌🏼
Inawezekana ni mlo mzuuri kwa vegetarians.Duh ebwana sometimes we need to have a short break, relaxing a little. Au sio Mkuu?
Sema balitazar bratt