Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Afande Sele AME ruin future ya 20%
Huyo Mzaramo hana akili wenzake tunafia nyumbani Dar kama Gaddafi ye akakimbilia Morogoro kwa yule mfalme mwenye rasta chafu.
Haiwezekani.Kurudi sasa ni tabu sana
Ajipange sana kwa kweli maana sasa hivi maskio ya watanzania yameshikwa na wasanii wachache sana.....Mtaarishaji wa muziki man water (walter?) amesema anamrudisha msanii 20% kwenye muziki na alikuwa amekwamwa kutokana na wao wawili kukumbwa na matatizo ya kifamilia, lakini wana nyimbo ambazo wameziandaa ila watazitengenezea video ili watu wamuone alivyo ndio nyimbo itapata kiki nzuri
Na Huo Ndio Ukweli, Mambo Mengine Yote Ni Lawama Zisizo Na MsingiHuyu dogo alikuwa vzr nadhani jani lilichangia kumuangusha
Kr ni msanii anaebebwa na makundi sidhan kama kuna nyimbo alizosimama peke yake20%, chidi ben, ray D, na kR wAUNDE KUNDI MOJA labda itawasaidia kurudi kwenye game.. ila hvihvi hata ije miujiza hamna kitu waachie ngazi aisee wasanii ni wengi sio wao tu hata kazi watu wanastaafu