Mbona Dai hakupotea???Bifu kati ya msanii na mtayarishaji wa muziki wake sio nzuri,zinapoteza wasanii wengi.
Mbona Dai hakupotea???
Amesema wanamuziki wote wanaokorofishana na maproducer wanapotea, mie nikatoa vivid evidence kuwa mbona Dai hajapotea.....sasa wewe unapokuja na kuanza kupanic kwa kuwa Dai katajwa unashangaza!!!.....Kwani Dai ni nani asitolewe mfano???Lile halikua bifu kama la 20%. Huyu jamaa pamoja na bifu akahamia moro. Jani sana pombe humo humo. (Hapa anaongelewa 20% dai ameingiaje hapa?mbona hujamtaja jay dee na wengineo. Acha utimu shabikia msanii umpendae bila kumshusha usiye mpenda)
Amesema wanamuziki wote wanaokorofishana na maproducer wanapotea, mie nikatoa vivid evidence kuwa mbona Dai hajapotea.....sasa wewe unapokuja na kuanza kupanic kwa kuwa Dai katajwa unashangaza!!!.....Kwani Dai ni nani asitolewe mfano???
Ulishaniona kwenye hizo team zenu? .....kwanini unamtetea Dai kuwa namchukia, umekuwa mnajimu???
kabisaHuyu dogo alikuwa vzr nadhani jani lilichangia kumuangusha