Jamani Dunia nzima inashangilia kwa ushindi dhidi ya Arsenal.hakika hakuna aliye kiwa ametalajia kama Man u itawajambisha Arsenal kiasi hicho.Duu Wenger kadata ni baraaaa.Arsenal hana historia ya kutufunga gooooooooooooooooooooooo!!!!! MAN U 1-O ARSENAR.POLEEEEEEEEEEEEEEEEEEW
Yaani furaha niliyonayo haina mfano , walisema sana baada ya mechi na dortumund , wapanue midomo tena!!! Haaaaa haaaaa na bado wanakuja na southampton !!!